Mango833
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 4,392
- 20,545
Uzur wa Data uwa hazijifichi. Yaan mtu anaeoa wake mpaka wa nne azidiwe na mweye ka mke kamoja Tena anaetumia uzazi wa mpango. Sikilizia baada ya Miaka 20 kitakachotokea Ulaya.
Ingekuwa wakristo ni wengi Basi Dr Slaa angeshinda urais mwaka 2010
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa wakristo ni wengi Basi Dr Slaa angeshinda urais mwaka 2010
By 2018 kwa sensa inayofanywa na makanisa yenyewe ili kujua waumini wao ni wangapi na ni very easy kujua.
Wakatoliki na Walutheri walikuwa zaidi ya 20 million na Mbatia alisema hili hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app