Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,257
Bhandugu,
Kama kichwa kinavyosema.
Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.
Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?
Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kinavyosema.
Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio shwari kabisa, nenda kule kwa mkuu wa meza huko ni kulala siku mbili na kuendelea, sijui ni kwanini?.
Cha ajabu baada ya mfungo kuisha mambo huwa yanakuwa bam! bam! Yaani mimi sijui ni kwanini hebu tupeana elimu ni kwanini inakuwa hivyo?
Karibuni sana wadau: Matusi, kejeli, dharau, havina nafasi kama una hasira vaa barakoa nawa mikono kwa maji na sabuni zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app