kudath omar
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 143
- 118
Ambaye hana akili ni mshia anayetumia social media za makafiri!, gari za makafiri and everything from MAKAFIRI JF haina miaka 20
Nadhani tunaelewana
Mshaanza kutoka kwenye logicak reasoning na kuingia kwenye mihemko ya kiimani...
Hapa nadhani mie sina makao teena.
Kwaheri.
Na amani ya mungu iwe kwenu (assalam alykum/ shelome eleikhom)