Kwanini waimbaji wa nyimbo za injili hawazeeki?

Crispin Nyoni

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
413
90
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kuna vyakula maalumu wanakula?
 
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kunya vyakula maalumu wanakula?

Irudie kuisoma sentensi yako ya mwisho kuanzia neno Au, halafu fanya marekebisho.
 
Kwa ufupi wanazeeka ila mojawapo ya sababu inayofanya waonekane hawazeeki ni kuwa muda mwingi huwa hawaazi mambo yenye fyongo au yaletayo stress na mawazo yaovyo ovyo, but wao huwaza kutunga nyimbo nk.

Lakini pia hapo kwenye kutunga kuna muda ukikutana au kukaa na mwimbaji ndipo utagundua hiki; Crispin Nyoni kuwa ana daftali au kitabu (sometimes) ambacho uandika kile anachowaza, au unaweza kumuona anaimba all time ambapo mojawapo ya kupoteza matatizo kichwani ni kuimba.

Mfano mzuri unaweza kunitafuta TODAYS alafu ukisie umri wangu na wako. Lakini pia kuna mtindo wa maisha kwa mtu anayeimba huna budi kuufuata agharabu.

*Hapo ni kwa ufupi tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa ufupi wanazeeka ila mojawapo ya sababu inayofanya waonekane hawazeeki ni kuwa muda mwingi huwa hawaazi mambo yenye fyongo au yaletayo stress na mawazo yaovyo ovyo, but wao huwaza kutunga nyimbo nk.

Lakini pia hapo kwenye kutunga kuna muda ukikutana au kukaa na mwimbaji ndipo utagundua hiki; Crispin Nyoni kuwa ana daftali au kitabu (sometimes) ambacho uandika kile anachowaza, au unaweza kumuona anaimba all time ambapo mojawapo ya kupoteza matatizo kichwani ni kuimba.

Mfano mzuri unaweza kunitafuta TODAYS alafu ukisie umri wangu na wako. Lakini pia kuna mtindo wa maisha kwa mtu anayeimba huna budi kuufuata agharabu.

*Hapo ni kwa ufupi tu.

Tumejifunza kutoka kwako mkuu TODAYS
 
Last edited by a moderator:
Kumtumikia Mungu kuna faida kaka.Niambie ni mwanamziki gani wa mziki wa kidunia ie bongofleva si mlevi au mwasherati?wao Wana fanya kazi ya Mungu aliye hai wakati wengine wakifanya kazi ya shetani.
 
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kuna vyakula maalumu wanakula?

Wao wanauza album.
 
Hawazeeki
Maandiko yanasema mtu akimpokea Yesu anakuwa kiumbe kipya
Pili Yesu anampa uzima wa milele
Yesu anasema "nalikuja ili wawe na uzima kisha wawe nao tele"
Kwa ujumla wanaomtegemea Mungu wanaanza kuonja uzima wa milele hapa duniani.
Pia mshahara wa dhambi ni mauti....kifo, kufilisika n.k

Waliopandwa kwenye nyumba ya Bwana hawatazeeka watatoa utomvu siku zote............
Sio waimbaji tu hata wahubiri pia anza kuchunguza
 
mkuu wanazeeka sana tu... R.mhando kazeeka zamani hakuwa hivi, mwaitege bado umri unaruhusu...
kuzeeka wanazeeka ila ni taratibu sana maana hawauchokeshi ubongo kwa mambo mengi, mda mwingi wanawaza nyimbo zao, humo wanagusia neno la Mungu, wanakuwa na peace of mind na hiyo ndio huwafanya wachelewe kuzeeka.
 
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kuna vyakula maalumu wanakula?

Hujafanikiwa kuwafuatilia vizuri, mda bado unao jarib kuwa makini wakati wa ufuatiliaji wako
 
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kuna vyakula maalumu wanakula?



Hiyo Ndiyo Faida Mojawapo Tu Ya Wokovu, Kumwamini Yesu Kristo Kuwa Bwana Na Mwokozi, Maana Amesema Atarudisha Miaka Ilyoliwa Na Tunutu. Karibu Ktk Ufalme Wa Mungu
 
Nimakuwa nikifuatilia kwa karibu waimbaji nyimbo za injili naona hawazeeki.Mfano Don More, Rose Muhando,mwaitege, mwaipaya, Nicholina Msungu nk.Kwa nini hawazeeki?Ninavyowaona ni kuwa hawazeeki.Kwa nini?Au kuna vyakula maalumu wanakula?

Acha mzaha.
 
Back
Top Bottom