The last Nyiha King
Member
- Apr 28, 2018
- 36
- 32
Kama kichwa cha Habari kinavyo jieleza hapo juu, miaka ya hivi karibuni wasanii wa nyimbo za injili wamekuwa wakitoa nyimbo nyingi zakusifu mazuri, kama vile maisha mazuri na pesa n.k, tofauti na Miaka ya zamani wasanii wengi walikuwa wakitoa nyimbo za maonyo, nyimbo zakukemea dhambi, nyimbo ya kuwafanya watu tuwe na hofu ya Mwenyezi Mungu.
Lakini saiz hali imekuwa tofauti sanaaaa. Kwa sasa wasanii wachache Sana wa injili wanakemea dhambi
Lakini saiz hali imekuwa tofauti sanaaaa. Kwa sasa wasanii wachache Sana wa injili wanakemea dhambi