Madam Lucky
Member
- Sep 22, 2018
- 44
- 36
Hallow
Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya?
Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao tupo Tayar kuhudum ata bila malipo.
Sisi KAZI yetu ni kuhubili sio biashara hii.
Naomba tulijadili hili watumishi wa Mungu
Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya?
Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao tupo Tayar kuhudum ata bila malipo.
Sisi KAZI yetu ni kuhubili sio biashara hii.
Naomba tulijadili hili watumishi wa Mungu