Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Ukiangalia barabarani ajali zinazotokea au ukienda Wodi za hospital nyingi hapa nchini hutakuta Wahindi, Waarabu au Wazungu wamepata ajali ya Bodaboda (pikipiki) japo wao ni watuamiaji wazuri sana wa usafiri wa aina hii.
Mfano mzuri, jijini Dar wahindi wengi wanatumia zaidi pikipiki kuliko daladala na magari binafsi lakini watu hawa huwakuti wamepata ajali ovyo ovyo tofauti na watanzania ambao kila siku wanakatwa miguu na kufariki. Tatizo ni nini? watanzania hawatumii akili katika kuendesha bodaboda? wanapenda kushindana na kutofuata sheria? Nini mtizamo wako.?
KARIBUNI.
kuna tofauti kati ya BODABODA na PIKIPIKI.....ajali nyingi zinahusisha bodaboda[commercial] wazungu wahindi wanaendesha pikipiki[binafsi] na wana discipline.
pikipiki zipo tangu enzi na enzi na ajali zilikuwa za kuhesabu chache sana,lakini bodaboda zimeanza juzijuzi tu ajali kibao kwasababu madereva wake ni machizi na walevi wa bangi/viroba/unga
Ukiangalia barabarani ajali zinazotokea au ukienda Wodi za hospital nyingi hapa nchini hutakuta Wahindi, Waarabu au Wazungu wamepata ajali ya Bodaboda (pikipiki) japo wao ni watuamiaji wazuri sana wa usafiri wa aina hii.
Mfano mzuri, jijini Dar wahindi wengi wanatumia zaidi pikipiki kuliko daladala na magari binafsi lakini watu hawa huwakuti wamepata ajali ovyo ovyo tofauti na watanzania ambao kila siku wanakatwa miguu na kufariki. Tatizo ni nini? watanzania hawatumii akili katika kuendesha bodaboda? wanapenda kushindana na kutofuata sheria? Nini mtizamo wako.?
KARIBUNI.
Hivi hao "Wahindi, Waarabu au Wazungu" uliowataja si Watanzania? katika "uchunguzi wako huru" ulikuwa ukiwauliza Uraia wao?
Hivi hao "Wahindi, Waarabu au Wazungu" uliowataja si Watanzania? katika "uchunguzi wako huru" ulikuwa ukiwauliza Uraia wao?
acha waje wenyewe,
pia mbona zanzibar sisikii ajali za vespa?
au wapemba na waunguja kukatwa miguu kwa ajali ya pikipiki?
hahahahahhahaaahaaaaa :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:Uzungu sio rangi ni kiasi cha pesa.
kuna tofauti kati ya BODABODA na PIKIPIKI.....ajali nyingi zinahusisha bodaboda[commercial] wazungu wahindi wanaendesha pikipiki[binafsi] na wana discipline.
pikipiki zipo tangu enzi na enzi na ajali zilikuwa za kuhesabu chache sana,lakini bodaboda zimeanza juzijuzi tu ajali kibao kwasababu madereva wake ni machizi na walevi wa bangi/viroba/unga