Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Ukiangalia barabarani ajali zinazotokea au ukienda Wodi za hospital nyingi hapa nchini hutakuta Wahindi, Waarabu au Wazungu wamepata ajali ya Bodaboda (pikipiki) japo wao ni watuamiaji wazuri sana wa usafiri wa aina hii.
Mfano mzuri, jijini Dar wahindi wengi wanatumia zaidi pikipiki kuliko daladala na magari binafsi lakini watu hawa huwakuti wamepata ajali ovyo ovyo tofauti na watanzania ambao kila siku wanakatwa miguu na kufariki. Tatizo ni nini? watanzania hawatumii akili katika kuendesha bodaboda? wanapenda kushindana na kutofuata sheria? Nini mtizamo wako.?
KARIBUNI.
Mfano mzuri, jijini Dar wahindi wengi wanatumia zaidi pikipiki kuliko daladala na magari binafsi lakini watu hawa huwakuti wamepata ajali ovyo ovyo tofauti na watanzania ambao kila siku wanakatwa miguu na kufariki. Tatizo ni nini? watanzania hawatumii akili katika kuendesha bodaboda? wanapenda kushindana na kutofuata sheria? Nini mtizamo wako.?
KARIBUNI.