Uchaguzi 2020 Kwanini wagombea wa CHADEMA ndio wanaongoza kwa kukiuka maadili ya uchaguzi? Ni malezi mabovu ndani ya chama au?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,975
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je, ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kama alivyo mwenyekiti, ndivyo walivyo wanachama na washabiki.
 
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Wanaongoza kukiuka sheria na kanuni za uchaguzi kwasababu wamewekewa kanuni,lakini upande wapili wapo salama kwasababu hamna sheria wala kanuni inayowaongoza wakitaka kutokana wanawake sawa,wakitaka kuongea kisukuma sawa na hata rushwa wanatoa maana sheria hakuna
 
Hizi ni dalili za wazi dhidi ya upinzani. Haiwezekani tangu mchakato wa uchaguzi uanze chama tawala hawajahi kufanya makosa. Tunajidanganya tu kwani wananchi sio wajinga na wanaona unyanyasaji wa wazi dhidi ya vyama vya upinzani.
 
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ofcourse ni malezi mabovu kutoka CHADEMA
Chama kiko rafu, kimekaa kikanjanja
 
Mara nyingi japokuwa sio wote wamama hupenda kuwaadhibu watoto wa kambo hata kama mama akiambiwa kosa kafanya mtoto wake wa kumzaa.
 
CCM mnatia huruma sana siku hizi Mungu awatie nguvu.
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

I think ni Malezi ndani ya CHAMA.

Au ile hali ya kumfuata role model wao wakiamini wapo juu ya sheria.

Kipimo kidogo: Angalia replies zao kwenye hii thread ndio utatambua hiki chama hasa CHADEMA ni watu wenye ethics gani!

Kama alivyo mwenyekiti, ndivyo walivyo wanachama na washabiki.

Wanajiona wako sahihi kwa kila kitu.. Bado siku 11 tuwakomeshe

Hizi ni dalili za wazi dhidi ya upinzani. Haiwezekani tangu mchakato wa uchaguzi uanze chama tawala hawajahi kufanya makosa. Tunajidanganya tu kwani wananchi sio wajinga na wanaona unyanyasaji wa wazi dhidi ya vyama vya upinzani.

Ofcourse ni malezi mabovu kutoka CHADEMA
Chama kiko rafu, kimekaa kikanjanja
 
CCM walikiuka maadili ya uchaguzi, rais na waziri wakatangaza kazi wakati wa kampeni, wanapigiana simu kupeleka barabara wakati wa kampeni uliwahi kusikia wamefungiwa?

Hiyo ilikua rushwa ya wazi kwenye uchaguzi, kuna siku umesikia NEC wamewafungia CCM?
 
Chanzo kikubw cha haya ni tume ya uchaguzi, wameweka kanuni za hovyo sana kwenye uchaguzi...pia hizo kamati zimeundwa kiccm
 
Kwa nini wafuasi wa ccm wengi pamoja na viongozi wenu mmekuwa wanafiki wa kutupwa,wajeuri,wenye matusi na waongo...dhidi ya upinzani?

Ndivyo mnavyoleana kwenye chama chenu au?
 
Nimefuatilia orodha ya wagombea waliofungiwa kufanya mikutano ya kampeni na kamati za maadili kwa kukiuka maadili ya uchaguzi na nimekuta wagombea wa Chadema ndio wengi.

Lakini pia wagombea wa CCM wanaongoza kwa kuzingatia sheria na maadili ya uchaguzi.

Nabaki najiuliza Chadema wanafeli wapi na ni nini siri ya mafanikio ya CCM?

Je ni malezi ndani ya vyama?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ukweli inajulikana wazi upinzani wana minywa haswaaa.
Mfano kauli ya mama samia suluhu ya jana angeitoa Lissu sasa hizi angekuwa amekwisha itwa na tume.
Kama kauli ya mjumbe wa uvccm Bwana heri angeitoa mpinzani was hizi angekuwa segerea

But hata farao alifanywa moyo kuwa mgum hivyo tunaoelewa haya tunasema lazima unabii utimie
 
Back
Top Bottom