Beeb JF-Expert Member Aug 18, 2018 29,402 58,951 Jan 6, 2021 #81 Kama unawasalimia na kuwachangamkia ukiwa kazini.. mengine yasikupe shida.
ighaghe JF-Expert Member Mar 25, 2013 2,279 3,178 Jan 6, 2021 #82 Potelea mbali na tabia zako ila hakikisha kwenye matatizo na majanga ya wengine unakuwa mstari wa mbele kujitoa.
Potelea mbali na tabia zako ila hakikisha kwenye matatizo na majanga ya wengine unakuwa mstari wa mbele kujitoa.