Kwanini wafanyakazi wenzangu wanaepuka kukaa nami kwenye basi la kazini?

Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu Kama nimekinotice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua Kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya !!

Je umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Tatizo la vijana wa sikuhizi mnatumika sana kisiasa kama hauongei na mtu wenzako wanahisi ni mmoja wapo ya wasiojulikana
 
Inategemea sasa umeshakaa mda gani labda bado ujazoena nao Ila jitahidi isijekuta utaki mazoea my friend ishi nao vizur
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu Kama nimekinotice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua Kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya !!

Je umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Check harufu yako mdomoni ipo sawa?
 
Wanakujua unavyojipendekeza kwa Boss sasa wasije wakajisahau wakaongea wakakutana na Hasira za Mkuu
 
Mimi sitaki mazoea wananilazimisha tu

Mara stori, mara utani bahati mbaya utani mwingine unaudhi nashangaa unanilazimisha kunizoea halafu unaniudhi
 
Personality yako (Haiba) ndio inayo kushtaki kama unatupia pamba za ukweli halafu unajifanya unajua kila kitu na ku criticize (kukosoa na kubishana kwa kila kitu) hapo lazima watu wakukimbie kaka. pole sana!
 
Issue ni moja tu: "Huyo sio mwenzetu" Kama hujishughulishi na kutafuta cheo, kupendwa na bosi nk, kwa kutumia njia chafu, au mambo yoyote ya kishirikina. Endelea na msimamo wako.
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Kwani kwa siku zote hizo umepungukiwa nini?
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Fanya kazi zako mkuu,tena kwa bidii Sana,maisha yawe mazuri,utabarikiwa Sana.
 
Utakuwa unanuka. Muulize mpenzi wako au mzazi kama unanuka au la, wapenzi na wazazi huwa hawasemi uongo ukimuuliza swali kama hilo.
 
Unajitenga mwenyewe kwann unapoingia kwenye hio bus usikae siti ambayo tayar ina mtu ......au unataka ww ndo uwe kichwa cha mzigo utakapokaa ndo akae mtu ila alipokaa mtu ww hukai
 
Back
Top Bottom