Kwanini wafanyakazi wenzangu wanaepuka kukaa nami kwenye basi la kazini?

Mkuu nafikiri hiyo ni faida kwako, maana umeshasema wewe siyo mtu wa interaction na watu, especially wale ambao hamjazoeana, kwa hiyo sioni lolote la kukera hapo na watu wa aina yako wapo wengi tu, hivyo usijali.
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
...Yaani wewe ndio uko nao huko ushindwe kujua kwa mini wanakutenga utuulize sisi ambao hatujapata kuwaona??

OK, fuatilia makwapa yako usije ukawa na Kikwapa...fuatilia mdomo wako usije ukawa unatoa harufu...fuatilia uvaaji wako wa Boxer, hasa kama wewe ni mmoja wa wale wanaovaa boxer kwa siku TANO kabla ya kubadili nyingine....yote hata yanaweza kufanya office mates kukuepuka.. Wakati wewe unajifariji kwamba ni kwa sababu wanakuona...aloof!! Fuatilia hilo neno !!!
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
...Yaani wewe ndio uko nao huko ushindwe kujua kwa mini wanakutenga utuulize sisi ambao hatujapata kuwaona??

OK, fuatilia makwapa yako usije ukawa na Kikwapa...fuatilia mdomo wako usije ukawa unatoa harufu...fuatilia uvaaji wako wa Boxer, hasa kama wewe ni mmoja wa wale wanaovaa boxer kwa siku TANO kabla ya kubadili nyingine....yote hata yanaweza kufanya office mates kukuepuka.. Wakati wewe unajifariji kwamba ni kwa sababu wanakuona...aloof!! Fuatilia hilo neno !!!
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
...Yaani wewe ndio uko nao huko ushindwe kujua kwa mini wanakutenga utuulize sisi ambao hatujapata kuwaona??

OK, fuatilia makwapa yako usije ukawa na Kikwapa...fuatilia mdomo wako usije ukawa unatoa harufu...fuatilia uvaaji wako wa Boxer, hasa kama wewe ni mmoja wa wale wanaovaa boxer kwa siku TANO kabla ya kubadili nyingine....yote hata yanaweza kufanya office mates kukuepuka.. Wakati wewe unajifariji kwamba ni kwa sababu wanakuona...aloof!! Fuatilia hilo neno !!!
 
wewe ni bosi apo kazin? kama ni bos kaa ukijua huwatendei sawa ma subordinates wako apo kazin
 
the problem is not your appearance..

the problem is not that you have been bewitched..

I think...

I think the problem is your attitude..

I think you seem like a serius dude.
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Ulipotoka wamewaambia hapo kwamba wewe ni TISS.ukipuuza comment yangu basi haina jinsi.
 
Mwanzoni sikuwa nachukulia serious hadi miezi ya hivi karibuni ilipotokea nimebadilisha makazi.

Kifupi mimi ni kijana, mtanashati, ila sio muongeaji sana kwa watu nisio na mazoea nao au katika mazingira mapya. Pia huwa sipendi kuzungumzia mambo mepesi mepesi kuhusu watu au vitu. Ni mara nyingi nimewahi kusikia kuwa watu husema Mimi ninaringa sana.

Sasa kuna kitu kama nimeki-notice siku za hivi karibuni. Nimehamia eneo lingine kikazi. Na asubuhi tunatumia Bus la kazini kwenda ofsini. Ila kuna kitu nimekiona na imekua kama trend flani hivi. Nikiwa kwenye bus ambapo Kuna nafasi wazi tu ila watu wakiingia huwa as if wanakwepa kukaa seat niliyopo hadi seat yangu iwe last option. Hii imeibua maswali ndani yangu kwa nini iko hivyo wakati niko mazingira mapya!

Je, umewahi kukutana na hali hii? Na nini tafsiri yake?
Mkuu ukitengwa ujue unaundiwa tume ya uchunguzi, sasa wameamua kupisha uchunguzi
 
Umeandika kua hujadili vitu vyepesi vyepesi sasa hiki ulichotuletea hapa kina uzito gani.

Hao wafanyakazi wenzio watakua wanakuona MCHAWI na hakuna mtu asie mchawi anapenda kukaa karibu na wachawi

Acha vitabia vyako vya kichawi utakuja kunishukuru.
 
SABABU NI HIZI,

1) Unaweza ukawa ni mchafu, Yaani unatoa harufu kali mdomoni, Masikioni, Kwapani , Soksi zako, n.k.JITAHIDI KUWA MSAFI NA USIPAKE MAFUTA AU PAFYUMU YENYE HARUFU KALI Wengine hawapendi manukato yenye harufu kali.

2)Kama ni kibonge punguza mwili wako, Tafsri yake kwenye kiti unachukua eneo pana , Hivyo mwenzako anakuwa amekalia tako MOJA tu. Hivyo mtu hawezi kuja kukaa na wewe Ili akalie tako MOJA.

3) UKIMYA wako wa kutokutaka Kuongea na Watu nayo huenda Ni sababu. Watu hawapendi kukaa na mtu asiyeongea
Safari itakuwa ndefu sana. Watu wanapenda stori ,utani n.k.Sada kama wewe umenuna tu kama umegombana na mtu muda wote ndiyo maana wanakukwepa ukae PEKE YAKO Ili ujinunie mwenyewe.

Onesha tabasamu, kuwa mkarimu. Usiriazines ni DALILI za uchoyo na roho mbaya.Hivyo badilika
 
Sasa wewe unaweweseka na nini ikiwa wewe mwenyewe wajitambua si muongeaji
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom