Mtoa mada jibu lako liko ndani ya uzi wako, huyo msela ni handsome ndoa maana mademu wanajipeleka kwake, sio u-bad boy wake Unavutia wadada, bali muonekano wake, mdada akiona huyo mwanaume alivyo handsome, anaona hataweza pata mkaka mwingine mzuri kama huyo, hivyo wanavumilia vipigo donlucchese



