Mwanzoni vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Payuka umeiweka vizurikuliko mwanakijiji.
Yeye ameseme vyombo vya habari kana kwamba ni vyombo vyote vya habari wakati ni vichache tu. Ukiangalia kwa makini utagundua vyombo vinavyo muandika vibaya jk ni vile vipya ambavyo havikuwepo 2005,mfano Raia mwema haikuwepo.
Lakini vyombo vingi vya habari makini vilvyomsapoti 2005 bado vimeendelea kumsapoti hadi leo.Nitoe mfano tu,Rai,Daily News,Habari leo,Itv,Star tv,Channel 10,c2c,nipashe,the guardian,uhuru,to mention but few..
Mwanzoni vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Habari Tanzania si Habari ni biashara na wakati wa uchaguzi biashara ilkiuwa nzuri upande wa pili. Kwa vile wale waliokusanya fedha kwa uchaguzi wameshamaliza msimu wao vyombo vya habari vitafuata bahasha za Ikulu huko kila siku kuna shughuli za vibahsha na ili ualikwe basi ionekane jitihada zako.Mwanzoni vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Mwanzoni vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Mwanzoni vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Acha uwongo. Conservatives wa Uingereza hawakutoa fedha yoyote kwenye uchaguzi wa CHADEMA 2010.Waandishi wa habari wa Tanzania ni kama malaya wa baa. Ukiwanunulia bia moja unakuwa "kaka" yake. Ukimuongezea nyingine moja unakuwa "shemeji" na ukiongeza ya tatu unakuwa "shemeji" within a span of 2 hours. Hawa nao walivuta fedha nyingi kutoka "mtandao" na huo "mtandao" ulikuwa unasifika kama ni "mtandao wa vijana" na damu mpya! Sasa mwaka huu CHADEMA wamevuta fedha nyingi kutoka Conservatives wa Uingereza na fedha hizi zimemwagwa kwa waandishi na wahariri wa vyombo vya habari.
Kama vyombo vya habari "vilimramba miguu" Kikwete mwanzoni mwa muhula wake wa kwanza na tunakubali kuwa wamemgeuka mwaka huu, basi it is equally true walikuwa wanamramba miguu mgombea mwengine. Sasa jiulize kwanini hao waandishi wa habari wawe "wanaramba miguu" ya mgombea mmoja tu na kwanini wasiwe wanaripoti bila ya upendeleo wowote?
Kama unafikiri kuwa tuna waandishi na wahariri HONEST kwenye nchi basi hii Tanzania haujui kabisa!