Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Kwanini hapa mjini vijana wengi hupenda kuitana 'Wanyamwezi'? Yaani hadi salamu unakuta wanaitana, mfano unakutana na mtu anakusalimia 'Inakuwaje Mnyamwezi, Au mambo vipi Mnyamwezi!'
Ukiwa umependeza unakuta unaambiwa 'Mnyamwezi umetokea sana'. Au mtu akiwa ametoka ulaya anaambiwa 'Unyamwezini'.
Hivi ni nini siri ya watu kupenda sana 'Unyamwezi' hapa mjini?
Ukiwa umependeza unakuta unaambiwa 'Mnyamwezi umetokea sana'. Au mtu akiwa ametoka ulaya anaambiwa 'Unyamwezini'.
Hivi ni nini siri ya watu kupenda sana 'Unyamwezi' hapa mjini?