Kwanini vijana/watoto wengi waliotumikia Altareni Leo hii asilimia kubwa sio watu wa dini wala kusali

Do you real know who is God besides holy books? Suppose wewe ni kipofu na kiziwi...huyo Mungu nawezaje kum access, je huyo Mungu wako ni kwa ajili ya wanaojua kusoma peke yao? Kwa sababu kama hujahadithiwa au kusoma mwenyewe nafasi yangu iko wapi ya kumjua Mungu ili nimpe heshima anayostahili, naomba majibu sahihi sio unanambia watapotea pasipo sheria....(warumi ngapi sijui)
Kama ni hivyo huyo Mungu wako hayupo Fair.
Umezungungumzia dini mbili kubwa kwa mtazamo wako., hebu tuangalie data!!
All christians duniani wapo kama 2.4 Bilions na Islam ni kama 1.2 Bilions katika bilioni 7 ya world population wamebaki wangapi wasio na hizi dini zako? Ni wengi hawana hizi dini, je wana dini gani? Kuna Hinduism, na Budhism
Katika dini hizi zote Buddhism kidogo ina ukweli kuliko zingine ( Nimesema ya ukweli kwa sababu ina compartiblity na Our Nature) tatizo lao ni moja tu nao wanaabudu Vitu walivyovitengeneza wenyewe na hiyo imeondoa value ya dini yenyewe sasa, because una pay respect kwa thing which are unknown (x).
Je watu wote hao ni wajinga kutokuwa kwenye dini za ki Mesopotamia?
Uyahudi ambako tunapata Story za Yesu, hawamtambui Yesu kama alikuwepo hata historia kwamba alikuwepo Yesu haipo, historia zilizopo ni za kutengeneza.
Ukristo una umri as it is said miaka 2000 na Islam ni 1500 miaka.
Swali na Unijibu?
Je Human Race ina umri gani, kabla ya dini hizi watu waliabudu nini, najua utaniambia mapangoni nk nk huwa sipendi majibu ya kitoto toto ujue!!
Mkuu una pointi ila haya mambo kuna level tumeishia kuyafahamu,kuna level za juu zaidi hizo tunanyimwa kuzifahamu kwa sababu kadhaa,so katika kuelezea kila mtu anaelezea haya mambo kwa kiasi alichofanikiwa kukifahamu.hapa hoja naona watu waliotumika kwa karibu makanisani wengi wao huja kuwa mbali na kanisa,je sababu ni ipi?ni kutokana na kujua na kupata uelewa fulani kuhusu kanisa?
 
Mkuu natamani nikujibu hoja zako kwa ukali kama ulivo zitoa ila naona nitachoka.Kila kitu katika ulimwengu ni FACT,religion included.Kama kitu kinaweza kutake mental form na kutengeneza mfumo wa kipekee basi kinayo mantiki na umuhimu.

Kwa mfano wewe usingepata nafasi ya kuwasoma hao wanafalsfa unao waita wakubwa ingawa ni wa kawaida kama sio dini hiyo unayoishangaa so DINI haiwezi kuwa blah blah kama imeweza kukupa nafasi ya kuitazama dunia katika angle tofauti.

Nafikiri unafikiri kwamba hiyo DINI ambayo ilikufundisha kufikiri namna unavofikiri umeizidi akili kumbe hapana andiko lako linaonesha kabisa kwamba bado upo shallow kwani kuna darasa au kipindi hukuhudhuri ndio maana unaweza kusema kwamba Dini ni BLAH BLAH.
Kuna mafundisho mengi sana katika dini ambayo ni common sense tu na sio lazima uwe na dini ili uyafahamu mfano kumpenda jirani yako kama nafsi yako, kutokuua, kutomfanyia mtu mwingine kile ambacho usingependa kufanyiwa n.k

Haihitaji uwe muumini wa dini fulani uyajue hayo. Tatizo la dini hizi ninalosema kuwa ni blah blah ni mambo kama story za kutungwa zilizopo katika biblia. Haina ukweli wowote (facts) na hakuna anaeweza ku prove kamwe.
 
Mkuu umenigusa kabisa, nilikiwa mtumikiaji mmoja mzuri sana. Nilihudhuria ibada zote tatu kwa siku( jumapili) wakati huo ilikuwa misa ya kwanza saa 12 asubuhi na inaisha around saa 2, then wanaingia misa ya pili iliyoisha saa tano. Na jioni kulikuwa na misa ya watoto pia nilihudhuria. Siku za kawaida pia (jumatatu - Ijumaa) kabla ya kwenda shule nilianzia church kupiga chetezo.

Nilikuwa na mwanangu mmoja aliyeniinsipire na mimi nikajiunga kutumikia, daah, haya maisha bwana. Lakini kuna kitu nilijifunza hasa nidhamu maana tuliwaheshimu viongozi wetu sana
 
Kuna mafundisho mengi sana katika dini ambayo ni common sense tu na sio lazima uwe na dini ili uyafahamu mfano kumpenda jirani yako kama nafsi yako, kutokuua, kutomfanyia mtu mwingine kile ambacho usingependa kufanyiwa n.k

Haihitaji uwe muumini wa dini fulani uyajue hayo. Tatizo la dini hizi ninalosema kuwa ni blah blah ni mambo kama story za kutungwa zilizopo katika biblia. Haina ukweli wowote (facts) na hakuna anaeweza ku prove kamwe.
sSo unafikiri kuwa na dini sio Common sense?So unafikiri hizo stori za kutungwa haziwezi nkuwa proven kamwe?Unahitaji kutumia Common Sense kuelewa kwamba Hizo stori za kutungwa ni msingi wa kufundishia na kwa muda wote ambao zimekuepo zimekuwa zana bora kabisa za kufundishia maadili.

Nafikiri unahitaji Common sense ya kutosha kuelewa hili
 
Mkuu mimi mwenyewe ni muhanga wa jambo hilo kwenda kanisani imekuwa ngumu Sana na hata mzee alipo taka kumpeleka dogo nilipinga waziwazi kwamba dogo asiende kutumikia
 
Wataenda wangapi wakati viongozi ni lazima wawe wachache.mi naona ni sawa tu.
 
3. Mimi muumini wa science (facts). Science ni facts ambazo zimekuwa proved wakati religion ni blah blah blah tu ambazo hazina proof ya aina yoyote. Japo religion ina mafundisho ambayo kimsingi yanatuwezesha sisi binadamu kuweza kuishi hapa duniani lakini kwa asilimia nyingi religion ni hoax tu. Mnaibiwa na hizi dini.
Usiseme Blah Blah.. ni kwa jinsi wewe umeelewa, Wanafalsafa hao hao unaowazungumzia wamekuja na Facts zao.. to be specific kasome City of God ya Mt. Augustine, Critique of Pure reason cha Immanuel Kant na Baadhi ya kazi za Thomas Aquinas. Simply kuna Falsafa ambazo zinasapoti Dini na ambazo hazisapoti, Mfano Falsafa za Bertrand Russels
 
Kwakweli ipo siku maovu yetu tu yatakuwa bayana
yaan mtaja kuijua dini ya kweli ten hata waliomo humo hawata iona mbingu ila ndo mtakuwa mmechelewa
onyo kwenu watu wasio mwamini kristo kuwa nimwokozi wa maisha yetu ukafuata uasi na kutenda maovu siku hukumu itakapo dondoka huku ukisaga meno
salamu kwa waroma na wasabato hakika mnaabudu msichokijua
 
Why should i bring something to you? Do you know me? Do i know you?
Kwasababu huna ukweli uliouona!!

Huna cha kushuhudia.

Sema tu umepotoka mwenyewe na njia zako mbaya usisingizie tabia za mapadre na watu wa karibu.

Hakuna mahali kwenye biblia au mafundisho ya kanisa yanasema uangalie tabia ya mtu ndio usali.

Mapadre ni watu kama wewe, hawajakingiwa dhambi ya asili.

Na dini ni imani sio suala la facts( sayansi) though God is the greatest scientist of all scientists.

Hakuna tunachodanganywa, tunaambiwa usimtendee baya mwezako na umtumikie Mungu.
 
Mimi ni mmoja wao mkuu wakati nipo primary nilikuwa mwana shirika wa St. Aloysius Gozanga (Patron saint of Roman Catholic Youth) nimetumikia sana.

Secondary nikaenda seminary Salesian Seminary (Don Bosco) mpaka form six. Itoshe tu kusema exposure ya kanisa niliyonayo ni yakutosha kuzidi walei wengi.

Lakini nadhani hiyo exposure ilinifanya nifike mahali nisite kuendelea na wito wangu wa kuwa parde na mpaka sasa sio muumini wakueleweka.
What happened? Ulikuwa exposed na kitu gani hicho kilichokukatisha tamaa?
 
Inatokeaga , ndio mana Yesu alizungumza kuhusu mbegu za mwibani
mimi mwenyewe niliasi kanisani Almost miaka 15 katika hio 15 nimeenda kanisani hata mara 10 haifiki na kulikua na sababu maalum niliasi mpaka nikawa na Phobia ya kwenda kanisani, na hii phobia wanayo wengi sana... kuna watu unakuta wanawish waende ila akijiangalia anasema ntaanzia wapi kuingia.

Yani watu tuliasi tangu enzi ya "bwana awe pia nawe", tunekuja kurudi " Awe rohoni mwako"
miezi mi2 ya mwanzo nilipata shida sana kutoka kwa wanaonijua unaingia church watu wanakuangalia utasema uliwaambia ntakuja na shetani
Ila mwisho wa siku tumerudi na maisha yanasonga. Kwahiyo tuwaombee ipo siku tu.

Sent from
Ndio maana vijana wanaongoza kwa maambukizo ya vvu
 
Kwakweli ipo siku maovu yetu tu yatakuwa bayana
yaan mtaja kuijua dini ya kweli ten hata waliomo humo hawata iona mbingu ila ndo mtakuwa mmechelewa
onyo kwenu watu wasio mwamini kristo kuwa nimwokozi wa maisha yetu ukafuata uasi na kutenda maovu siku hukumu itakapo dondoka huku ukisaga meno
salamu kwa waroma na wasabato hakika mnaabudu msichokijua
Wewe bangi unavutia chooni, Biblia imeandikwa na kanisa katoliki, sasa itakuwaje waabudu wasichokijuwa?

Nyinyi madhehebu mapya ndio mlipaswa mtunge biblia yenu na kutunga mashairi yenu ili muabudu mnachoamini.

Kuwakejeri Wakatoliki ni upumbavu wa kutojuwa historia ya kanisa.

Kanisa la kwanza ni Katoliki na Biblia wameandika hao hao wakatoliki na kuingiza mashairi yao humohumo.

Hapa ndipo huwa nawadharau hawa wanaojiita walokole ni bogus kabisa.
 
Bila shaka hata huko mtaani kwako wapo vijana waliotumikia pale mbele Altare ya Bwana maisha yao Leo hii hawana habari na Mungu wala kanisa.

Maana kanisa liliwalea ili siku wajiunge na Seminary na hatimae kuja kuwa mababa wa baadae.

Lakini tofauti unakuta ni mmoja kwa kumi aliyeenda Seminari wengine wote walitokomea na kuachana kabisa na habari za Kanisa.
Hakuna Utumwa mbaya kama wa kuendeshwa na mafundisho ya Dini, haya mafundisho ya Imani za kigeni ni upotoshaji mtupu ndiyo maana wakapiga mkwara mzito utakiwi kuhoji Wala kutilia mashaka, nikiwa form5 katika kipindi kimoja Cha Divinity brother alisema hakuna moto Wala kiama, hapo nilianza kutilia mashaka juu ya mafundisho ya Dini, watu wengi waliojificha kwenye mwamvuli wa Dini Wana mambo Yao au maslahi yao binafsi
 
Inatokeaga , ndio mana Yesu alizungumza kuhusu mbegu za mwibani
mimi mwenyewe niliasi kanisani Almost miaka 15 katika hio 15 nimeenda kanisani hata mara 10 haifiki na kulikua na sababu maalum niliasi mpaka nikawa na Phobia ya kwenda kanisani, na hii phobia wanayo wengi sana... kuna watu unakuta wanawish waende ila akijiangalia anasema ntaanzia wapi kuingia.

Yani watu tuliasi tangu enzi ya "bwana awe pia nawe", tunekuja kurudi " Awe rohoni mwako"
miezi mi2 ya mwanzo nilipata shida sana kutoka kwa wanaonijua unaingia church watu wanakuangalia utasema uliwaambia ntakuja na shetani
Ila mwisho wa siku tumerudi na maisha yanasonga. Kwahiyo tuwaombee ipo siku tu.

Sent from
ha haaaa ....
 
Wewe bangi unavutia chooni, Biblia imeandikwa na kanisa katoliki, sasa itakuwaje waabudu wasichokijuwa?

Nyinyi madhehebu mapya ndio mlipaswa mtunge biblia yenu na kutunga mashairi yenu ili muabudu mnachoamini.

Kuwakejeri Wakatoliki ni upumbavu wa kutojuwa historia ya kanisa.

Kanisa la kwanza ni Katoliki na Biblia wameandika hao hao wakatoliki na kuingiza mashairi yao humohumo.

Hapa ndipo huwa nawadharau hawa wanaojiita walokole ni bogus kabisa.
Honestly brother i was born a catholic,raised catholic,served in church in various capacity all my youth days but when i started reading more and understanding the Word of God more i was forced to look elsewhere.

I am not here to judge anybody but the Bible says particularly Paul in his letters that we are saved by faith only through grace which is quite contrary with what Catholic and Baptist teaches.

Another thing Catholics didn't write the Bible,when they were collecting books which were considered worthy to be scriptures there were already collection of books Jews used as scripture and the early church just incoporated them into that the general scripture. They added other books and removesd some as well.If they were able to understand some books are not scripture worth why do you think it was impossible for other prominent priests to understand the faulty of some books and denie them?
 
Take your time and look for me in private.
No Need to find you in Private; Utanichanganya zaidi, Maana umesema wewe Unamuelewa Mungu kwa Dini zingine tofauti na ya kwako, wakti huo huo Dini zingine zinamuelewa Mungu tofauti na unavyomuelewa wewe kupitia Dini yako; Atleast ungestick mahal pamoja ningekufata.
 
No Need to find you in Private; Utanichanganya zaidi, Maana umesema wewe Unamuelewa Mungu kwa Dini zingine tofauti na ya kwako, wakti huo huo Dini zingine zinamuelewa Mungu tofauti na unavyomuelewa wewe kupitia Dini yako; Atleast ungestick mahal pamoja ningekufata.
I think you have misread by argument or you are intentionally spinning but i understand you and thats okay.
 
I tried to understand God on other religion perspective and i am glad i did and it helped me uderstand God much better
Kwako Mungu sahihi ni Baba wa Yesu, kwa Waislamu ni tofauti, na Buddha na wengine ni Tofauti; Hapo ndipo utata unakuja; Sasa wewe ulikuwa unataka kuniambia Unamuelewa Mungu kwa religion zote wakati zenyewe zinachanganya??? Ofcourse Najua wewe ni Christian, kama kweli ni born again huwezi kuwa sawa na Muslim na wengine, na Muslim the same hawawezi kuwa sawa na wewe kwenye perspective ya Mungu.
 
Wewe bangi unavutia chooni, Biblia imeandikwa na kanisa katoliki, sasa itakuwaje waabudu wasichokijuwa?

Nyinyi madhehebu mapya ndio mlipaswa mtunge biblia yenu na kutunga mashairi yenu ili muabudu mnachoamini.

Kuwakejeri Wakatoliki ni upumbavu wa kutojuwa historia ya kanisa.

Kanisa la kwanza ni Katoliki na Biblia wameandika hao hao wakatoliki na kuingiza mashairi yao humohumo.

Hapa ndipo huwa nawadharau hawa wanaojiita walokole ni bogus kabisa.
fala we Tulia ujui ulinenalo
 
Back
Top Bottom