Kwanini vijana/watoto wengi waliotumikia Altareni Leo hii asilimia kubwa sio watu wa dini wala kusali

na ndyo ukwel huu..kuna kijana mmoja wa kiafrika aliwahi kutafit hata hili jambo kuhusiana na DNA za mtu mweupe, baada ya kupata ukwel na kuuweka wazi unajuwa nn kilimpata?.

haya mambo ni siri sana na wanaoyajua ni wachache japo yanawekwa wazi, still watu wanabisha sababu ya kudanganywa na hizi dini kuwa watu wote ni sawa, lkn nyuma ya pazia hakuna na hakutowai kuwa usawa kati ya mtu mweupe na hao jamii za fallen angels
Natamani unipe kidogo maana ya hii alien mkuu, na ABC japo kwa uchache za huyu jamaa aliyefanya utafiti wake kwa DNA aligundua nini na nini kilimpata???
 
Mimi maisha yangu yooote ya utotoni hadi ujana nimeishi madhabahuni. Mzee wangu alikuwa askifu, kaka yangu mmoja naye kwa sasa ni askofu, mwingine ni mchungaji.

Mimi nilifikia hatua nikawa katibu Mkuu wa umoja wa vijana taifa, ila nilivyojitafakari na kusafiri sana, nilivyoona kanisha linavyoendeshwa, kuna ufuska, utapeli na uwongo mkubwa ndani ya kanisa.

Lakini kubwa zaidi kilichonitoa kanisani zaidi ni kitendo cha kutambua siri iliyopo nyuma ya dini hususani kwa muafrika. Niliamua kujiweka pembeni kabisa.
Mkuu DALA napenda kuijua hii siri japo kwa uchache tuu.
 
Uzi wako ni kweli kabisa,toka nipo darasa LA 3 ilikuwa ni Mimi na kanisa na utumikiaji hadi darasa la7,ilifikia mahali hadi Mama akawa ananiambia hivi wewe unadhani utakula kanisa-nilikuwa natoroka hadi shule naenda kanisani.

Mwendo huo nilianda nao hivyo hivyo hai form 4,kwenye juhudi yoyote kuna mafanikio nilinufaika na kulioiwa gharama zote katika Masomo ya chuo Kikuu na kanisa kuanzaia ada hadi pesa za matumizi.

Anayeishi na MTU ndio anamjua MTU Maaskofu, Mapadri na Ma sister wanaheshimika sana katika Jamii ili uwafahamu vizuri ishi nao.
 
Ndani zitaenda sana ili kulinda heshima na faragha.

Wale ni binadamu kama tulivyo sisi na wanahisia kama sisi, hisia za kingono.
Unapokua karibu nao ndio unajua namna wanvyojihusisha nayo.

Lakini katika mambo ya uchumi wale ni watufutaji kama wengine tulivyo na katika kutafuta kwao wana dhulumu wanatapeli wana lalia watu nk.

Kama hauna hela, yaani muumini kama wewe hauna hela moja kwa moja hauna nafasi kwao.

Ukitaka huduma kwao wanaangalia kwanza wewe ni nani , kama ni wakaida huenda wasikuhudumie au wakupe huduma hafifu.

Lakini ukiwa na hela huduma inaukufuata mpaka nyumbani kwako.

Kwa ufupi ni binadamu kama sisi, wana roho mbaya, ni wachawi wengine, ni wazinzi wengine, ulevi tusihesabu sana maana pombe sio dhambi kwao.

Haya yote na kuzidi utayapata kuyajua ukiwa karibu nao, na mengi zaidi, na sio wao tu hata maaskofu wao, na wengine ukaribu inavyozidi wanajifungulia n Siri za maandiko.

Kuna mmoja alishawahi kuniambia sirius hakuna jehanamu wala kiyama wala hakuna mbingu au pepo.
Duh,,, shukrani nimekupata mkuu na nimejifunza kitu,,,
 
Kuna mmoja alishawahi kuniambia sirius hakuna jehanamu wala kiyama wala hakuna mbingu au pepo.
Hili Kabla Sijaambiwa na mtu yeyote nimekuwa nikipata mashaka sana, japo huwa sipendi kuelezea hasa wakiwepo watu wanaoamini kuwa yapo, sipendi kuwakwaza.

Kwanza hii ilikuwa inanipa shida sana kwamba Ivi kweli Mungu atutengeneze, atulete duniani, yaani ana uweza wote kama tunavyotanabaishwa halafu ashindwe kuaccomodate udhaifu wetu?? kiasi cha kuweka utaratibu kwamba mtu akifa wenaoishi kwa style fulani waende jehanum, wengine waende sijui peponi; Kwanini kama anajua mtu atazingua amlete huku? si ampeleke moja kwa moja mahali pazuri? Inafikirisha kwa namna fulani.

Mimi niko 50/50 Hivyo huwa naamini either Mungu hayupo, Au kama yupo basi hana muda na mambo tunayofanya, ikitokea tumekufa huenda hakuna Peponi, na kama Peponi ipo basi kila mtu anaenda huko bila vigezo vyovyote vya kiimani.
 
Kusoma kwako vitabu hakujakusaidia.Waliosoma sana vitabu wamekutana na maswali mengi ambayo sayansi imeshindwa kujibu na imani imejibu zamani sana. I am talking scientist kama akina Stephen Hawkings na wengine.
And vice versa is true
 
Mimi ni mmoja wao mkuu wakati nipo primary nilikuwa mwana shirika wa St. Aloysius Gozanga (Patron saint of Roman Catholic Youth) nimetumikia sana.

Secondary nikaenda seminary Salesian Seminary (Don Bosco) mpaka form six. Itoshe tu kusema exposure ya kanisa niliyonayo ni yakutosha kuzidi walei wengi.

Lakini nadhani hiyo exposure ilinifanya nifike mahali nisite kuendelea na wito wangu wa kuwa parde na mpaka sasa sio muumini wakueleweka.
Kwanini ulisita? je ni sababu gani ilikufanya husiwe muumini safi iwapo hukuwa na wito wa kipadre? maana watu wengi waliopitia seminari uendelea kuwa karibu na kanisa hata kama walikimbia wito wa kipadre.
 
Wengi ya tuliokua karibu Sana na hizi dini hapo mwanzo ndio sisi Kwa idadi kubwa ni
Non believer, Atheists,Theism nk
Mwanzo nilijikita kusoma vitabu vya mwanzo na kuchambua kitabu Cha ufunuo in deep
Katika
Last week nilikuwa naongea na rafiki yangu mmoja alikuwa ananiambia ameanza kusoma kuhusu Illuminant in deep.Nikamuuliza for what purpose?akanijibu he needs to know them but i know him mostly need to have an edge in arguments za kitaa.I told him that is improper use of his time and his learning potential.I told him he should first learn things which will improve him not make him paranoid and such.

My point to you is that its no coincidence that Ufunuo umewekwa mwishoni.You need first to understand the faith and you will understand the rest.Learning and understanding the Bible and its stories is not that simple if you read to find faults.

Choose right material as guidence through your bible study.Avoid watu wanaofight to take down the faith atleast until you are equiped with the Word and wisdom to understand their tricks and weakness in their logic.

As you study the Word your faith grows and your ability to understand grows as well.Those with little faith and knowledge doubt more than those who has more faith hence more knowlegde.
 
Hili Kabla Sijaambiwa na mtu yeyote nimekuwa nikipata mashaka sana, japo huwa sipendi kuelezea hasa wakiwepo watu wanaoamini kuwa yapo, sipendi kuwakwaza.

Kwanza hii ilikuwa inanipa shida sana kwamba Ivi kweli Mungu atutengeneze, atulete duniani, yaani ana uweza wote kama tunavyotanabaishwa halafu ashindwe kuaccomodate udhaifu wetu?? kiasi cha kuweka utaratibu kwamba mtu akifa wenaoishi kwa style fulani waende jehanum, wengine waende sijui peponi; Kwanini kama anajua mtu atazingua amlete huku? si ampeleke moja kwa moja mahali pazuri? Inafikirisha kwa namna fulani.

Mimi niko 50/50 Hivyo huwa naamini either Mungu hayupo, Au kama yupo basi hana muda na mambo tunayofanya, ikitokea tumekufa huenda hakuna Peponi, na kama Peponi ipo basi kila mtu anaenda huko bila vigezo vyovyote vya kiimani.
Sio wewe tu usiyeelewa mpo wengi sana. Na hii peke yake inatoa jibu kuwa humjui Mungu. Na pia inatoa tafsiri ya aina ya picha uliyoijenga kichwani kuhusu Mungu.Lakini pia nashindwa kuelewa ni imani ipi uliyonayo kwa sababu Viongozi wa kiroho jibu la swali lako wanalo na linaeleweka.Unachopaswa kufanya ni kuwatafuta na watakueleza na utaelewa.(Nina hakika kwa Christians sijajua kwa imani nyingine).

Ni muhimu ukatafuta ukaeleweshwa maana jambo la muhimu zaidi kwa binadamu ni kumfahamu Mungu na mapenzi yake.
 
Watu wameumizwa kihisia na hata kingono na makasisi, wachungaji waliowaamini.Hata ungekuwa wewe usingekatisha maeneo hayo.... Inaumiza kuona chumba kileee ndo nili(,....)
 
Hakuna mchujo mgumu kimaisha kuazia pale unaaza kuota nywele sehemu zasiri mzee ,labda kifamilia chako kiwe maskini Mana sometimes upadri dili hasa ukipata kua kwenye shirika lenyefedha lakipadri
 
Nashukuru niliipokea Imani yangu vizuri. Nimesoma St. Peter's seminary mpk Form 4 nikafukuzwa. Nikaendelea High school mpk chuo nikiwa mkatoliki kindakindaki. Nikiwa kazini nikawahamasisha wenzangu kuanzisha jumuiya na tukaweza. Napenda kunywa K.Vant Kila siku lkn hata siku moja haijawa kikwanzo kwangu kuchelewa Misa za asubuhi daily.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hata huko mtaani kwako wapo vijana waliotumikia pale mbele Altare ya Bwana maisha yao Leo hii hawana habari na Mungu wala kanisa.

Maana kanisa liliwalea ili siku wajiunge na Seminary na hatimae kuja kuwa mababa wa baadae.

Lakini tofauti unakuta ni mmoja kwa kumi aliyeenda Seminari wengine wote walitokomea na kuachana kabisa na habari za Kanisa.
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile...fuata maelekezo ya dini yako usifate ya binaadamu
 
Mkuu akili yako na yangu nadhani ni sawia! Naomba undugu nawe kuna vitu vya kuelekezana!
Ni wachache sana wenye mind hizi, yaani zinakwenda kinyume na ulimwengu
Ninefikia kuona hata hawa deities ni Creation tu , they never existed.
Tupo na kuendeshwa na computer programme wakati fulani tunajisikia ku breaktbrough this illusion, kuna kitu hakipo sawa kwenye hii reality, and no body can free our mind than ourselves.
Forces zipo around kuhakikisha hamanity does not get to itself by bombarding our environment by Radio, Television, Cellular frequencis, Microwaves surroundings, Artificial drinks and artificial gaggets used as foods, vyakula vilivyokuwa fortified, Fluoride in Dawa za meno na Maji ya chupa, all these are engineered to disturb the equillibriam of oureselves to connect us with the Cosmic!!!
 
Siku hadi siku vijana nchi za kiarabu wanakimbia UHAFIDHINA WA DINI....

Siku hadi siku vijana wa nchi za ulaya wanakimbia UHAFIDHINA WA DINI....angalia kule Ireland.....

Hata huku Afrika ,vitukuu vyetu vitahoji kila neno na hawatakuwa MATEKA WA HISIA......

#Siempre JMT
 
Back
Top Bottom