Rahsully
Member
- Aug 2, 2023
- 23
- 50
Nipo Engineer hahahah yani nasomaga tu comments za wadau nguvu za kutype zinaniishiaga kabisa🤣 🤣🤣 bado mambo hayaeleweki.naona uliamua kwenda likizo
Nipo Engineer hahahah yani nasomaga tu comments za wadau nguvu za kutype zinaniishiaga kabisa🤣 🤣🤣 bado mambo hayaeleweki.naona uliamua kwenda likizo
na kweli kwa staili hii lazima nguvu ziishe mie mwenyewe nakomaa kishingo upande coz hamna jinsi.Nipo Engineer hahahah yani nasomaga tu comments za wadau nguvu za kutype zinaniishiaga kabisa
MSENGEXXX SANA WEWE.wazee kuna pdf uko
we mwache matako yake 😆 😆 😆Jamn yamekuw hayo tena
Pdf iko wapi sasa wwwe mwache matako yake
Usikate tamaa usichoke kuenda tena Dodoma, me nimefanya oral 6 moja tu ndo nimeingia kwenye oralinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2
umepata kaZi?Usikate tamaa usichoke kuenda tena Dodoma, me nimefanya oral 6 moja tu ndo nimeingia kwenye oral
Sjapata lakn sikati tamaaumepata kaZi?
sawa,ila muhimu watu watoe tipsSjapata lakn sikati tamaa
Mkuu mbona utakiwi hata kusikitika kabisa..saili 2 tu...komaa tu utafika oralinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2
komaa kuna siku watakuita tu usjaliinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2
Jamaa naona kila akiamka anawaza tu kurusha watu rohoPdf iko wapi sasa ww
Kwani unafanya kada ipi mkuu? Tuanzie apo kukushauliinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2
Pole mkuu ila usikate tamaa mie nilifanya saili kama 7 hapo mixer zingine DSM zingine Dodoma na zote nilikuwa nazungusha nilikuja kutoboa saili ya 8 ndio nikafika oral na kwa kada yangu sijakaa hata miezi 3 nikaitwa nikachukue barua ya ajira so pambana mkuuinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2