FRANCIS MNGUMI
Member
- Jul 12, 2020
- 14
- 19
Asante nashukuru kwa taarifa ..Kikubwa majina yafanane, majina yaliyoko kwenye cheti na kitambulisho cha NIDA yafanane
Asante nashukuru kwa taarifa ..Kikubwa majina yafanane, majina yaliyoko kwenye cheti na kitambulisho cha NIDA yafanane
Kuwa na NIDA sio lazima. Ila kinachohtajika n utambulisho...Habari za Saizi jamani ?
Naombeni kuuliza ndugu zangu mm hapa nimeitwa usahili wa mchujo utafanyika hapo kesho kutwa Sasa Sina kitambulisho Cha NIDA kwa sasaiv na ninacho Cha kura lkn hakifanani mwaka wa Kuzaliwa na cheti Cha Kuzaliwa naona kama nikionyesha pale nje kabla ya kuingia kwenye usahili wakati wa kuhakiki wa vyeti kinaweza kuniletea changamoto japo Sina uhakika kwa mwenye kujua atanisahihisha juu ya hili .Sasa naomba kuuliza ninaweza kuomba barua kutoka kuandika barua kutoka ofisi ya Kijiji niliko Sasa ambako nimekuja tu kwa mda mfupi sio kama ni nyumbani kbs kbs ? Naombeni msaada wa kujibiwa ndugu zangu
Kuna mtu niliwahi kukutana nae tumeenda kuchukua barua ya placement walimkatalia kumpa barua licha ya kuwa na barua ya serikali ya mtaa pamoja namba NIDA walimwambia aende akalete kiapo kinachoonesha hiyo namba NIDA ipo sahihi jina lakeKuwa na NIDA sio lazima. Ila kinachohtajika n utambulisho...
Cha kufanya Nenda Serikali ya Mtaa wakuandikie barua ya Utambulisho iwe na majina ya vyeti vyako na katika barua wanaweza andika huyu mtu ana NIDA namna fulani hyo namba ya nida kama unayo waiweke tayari ushamaliza kazi. Barua hyo itasimama kama mbadala wa NIDA nk. Ila hakikisha majina anayoandika yasiwe na tofauti na majina ya vyeti.
Pia sikuwa na NIDA ila mara mbili naingia usaili mpaka oral bila kitambulisho na wanapokea barua.
Kila heri
mmhh wako makini kwenye barua inaonekana kuna mtu ashawahi kumlambia mwenzie asali 🤣 🤣Kuna mtu niliwahi kukutana nae tumeenda kuchukua barua ya placement walimkatalia kumpa barua licha ya kuwa na barua ya serikali ya mtaa pamoja namba NIDA walimwambia aende akalete kiapo kinachoonesha hiyo namba NIDA ipo sahihi jina lake
Duh hapo sasa ni kuwa na vyoteKuna mtu niliwahi kukutana nae tumeenda kuchukua barua ya placement walimkatalia kumpa barua licha ya kuwa na barua ya serikali ya mtaa pamoja namba NIDA walimwambia aende akalete kiapo kinachoonesha hiyo namba NIDA ipo sahihi jina lake
Haiwezekan. C bado akifika kazini kuna mambo ya kuonyesha vyeti.mmhh wako makini kwenye barua inaonekana kuna mtu ashawahi kumlambia mwenzie asali 🤣 🤣
ila kweliHaiwezekan. C bado akifika kazini kuna mambo ya kuonyesha vyeti.
lakini hebu vuta picha kwa hizi hustle uje usikie kuna mtu alikulambia asali kwa namna yoyote ile.si utamla nyama ndugu yangu 🤣 🤣Haiwezekan. C bado akifika kazini kuna mambo ya kuonyesha vyeti.
Sijawahi kwenda kwa mganga ila siku hy itabidi tuu ili nimtie mtu adabu huko huko halmashauri alipoajiriwa 😂lakini hebu vuta picha kwa hizi hustle uje usikie kuna mtu alikulambia asali kwa namna yoyote ile.si utamla nyama ndugu yangu 🤣 🤣
Yako wapWizara ya elimu wametoa majina...
PortalYako wap
Tujitahidi kuwa seriously wakuuPortal
Wameweka kwenye akaunt, i hope wataweka pdf pia kwenye tovuti soonTujitahidi kuwa seriously wakuu
Hiki ndicho ninachojiuliza....Mbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Ingia kwenye account yako mkuuTujitahidi kuwa seriously wakuu
Itakuwa mpaka wale watu wa tehema walio fanyiwa usaili kupitia mfumo wa atitude test wa kigital wapangiwe vituo vya kazi(placement) katika kila kituo kitakocho kuwa kinafanyiwa usahili ili wasimamie hizo sahili zitakazo kuwa zinafanyikaMbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 utumishi utawawezaMbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app