Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuelekea Kesho maazimisho ya Muungano ...PSRS mnaamua kutulaza gizani kwel, kwa machungu vijana wenu bila mkeka mzito wa taasisi tupate faraja😥😥😥
 
Habari za Saizi jamani ?
Naombeni kuuliza ndugu zangu mm hapa nimeitwa usahili wa mchujo utafanyika hapo kesho kutwa Sasa Sina kitambulisho Cha NIDA kwa sasaiv na ninacho Cha kura lkn hakifanani mwaka wa Kuzaliwa na cheti Cha Kuzaliwa naona kama nikionyesha pale nje kabla ya kuingia kwenye usahili wakati wa kuhakiki wa vyeti kinaweza kuniletea changamoto japo Sina uhakika kwa mwenye kujua atanisahihisha juu ya hili .Sasa naomba kuuliza ninaweza kuomba barua kutoka kuandika barua kutoka ofisi ya Kijiji niliko Sasa ambako nimekuja tu kwa mda mfupi sio kama ni nyumbani kbs kbs ? Naombeni msaada wa kujibiwa ndugu zangu
Kuwa na NIDA sio lazima. Ila kinachohtajika n utambulisho...
Cha kufanya Nenda Serikali ya Mtaa wakuandikie barua ya Utambulisho iwe na majina ya vyeti vyako na katika barua wanaweza andika huyu mtu ana NIDA namna fulani hyo namba ya nida kama unayo waiweke tayari ushamaliza kazi. Barua hyo itasimama kama mbadala wa NIDA nk. Ila hakikisha majina anayoandika yasiwe na tofauti na majina ya vyeti.
Pia sikuwa na NIDA ila mara mbili naingia usaili mpaka oral bila kitambulisho na wanapokea barua.

Kila heri
 
Kuwa na NIDA sio lazima. Ila kinachohtajika n utambulisho...
Cha kufanya Nenda Serikali ya Mtaa wakuandikie barua ya Utambulisho iwe na majina ya vyeti vyako na katika barua wanaweza andika huyu mtu ana NIDA namna fulani hyo namba ya nida kama unayo waiweke tayari ushamaliza kazi. Barua hyo itasimama kama mbadala wa NIDA nk. Ila hakikisha majina anayoandika yasiwe na tofauti na majina ya vyeti.
Pia sikuwa na NIDA ila mara mbili naingia usaili mpaka oral bila kitambulisho na wanapokea barua.

Kila heri
Kuna mtu niliwahi kukutana nae tumeenda kuchukua barua ya placement walimkatalia kumpa barua licha ya kuwa na barua ya serikali ya mtaa pamoja namba NIDA walimwambia aende akalete kiapo kinachoonesha hiyo namba NIDA ipo sahihi jina lake
 
Mbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Itakuwa mpaka wale watu wa tehema walio fanyiwa usaili kupitia mfumo wa atitude test wa kigital wapangiwe vituo vya kazi(placement) katika kila kituo kitakocho kuwa kinafanyiwa usahili ili wasimamie hizo sahili zitakazo kuwa zinafanyika
 
Back
Top Bottom