Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,882
- 4,599
Yako ipoje mkuu..?status zinasomaje leo mkuu
Yako ipoje mkuu..?status zinasomaje leo mkuu
TRA Ina kada nyingi, kada Gani hyo inasoma status selected for practical?Leo kuna PDF itatoka mida ya Saa 9 Mchana.
Mwezi wa 4 trh 9 ilikuwa Jumamosi na Siku hiyo kulikuwa na Mechi ya Arsenal.
Leo Mwezi wa 2 sio trh 9 lkn ni karibu na Trh 9 nayopia ni Jumamosi na Leo Pia Arsenal anacheza.
Ikitoka PDF ya TRA na Taasisi nyingne lakini Mkeka ulikuwa Mrefu sn.
Watu wa TRA Hakikisha Status imesoma Selected for Practical [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtaleta Ushuhuda Jioni ya Leo
TRA Ina kada nyingi, kada Gani hyo inasoma status selected for practical?
Hamkuwa na practical?tax management
ndioHamkuwa na practical?
Be careful, isijerudi "Not selected for..."[emoji3]Leo tax management kwenye app inasoma selected for practical[emoji23][emoji23][emoji23]kesho tunarudi kwenye selected for null safi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
bdo inasoma Practical mkuuYako ipoje mkuu..?
Binafsi nikutoe Shaka kuhusu status lkn Kwa Maelezo ya wadau wengi wanasema km Kada yako haikuwa na Practical wengi wao wameona Selected for Practical.TRA Ina kada nyingi, kada Gani hyo inasoma status selected for practical?
Practicalstatus zinasomaje leo mkuu
Mchawi pdf hizi zengine mbwembwe tu😂😂😂kabla ya mwez haujaisha huu yote yatajulikana .Be careful, isijerudi "Not selected for..."[emoji3]
Mkeka wa mama Jenista utoke sasa wale wa database tujue yaliyomo yamo au vepeMchawi pdf hizi zengine mbwembwe tu😂😂😂kabla ya mwez haujaisha huu yote yatajulikana .
Walikua wanasubiria week ya valentines waanze kushusha vitu😂😂😂Mkeka wa mama Jenista utoke sasa wale wa database tujue yaliyomo yamo au vepe
Jamani amesema ni usaili wake wa kwanza, kwahyo mwacheni yesamrich aulize pale anapohisi Pana dukuduku.Huu woga alikuwanao unaweza kumpelekea kufeli sio kwamba nataka hivi Ila atulie bhana Kichwa kitulie.. Usaili wa Oral PSRS mtu anafanya dakika 5 akaondoka, anacomplicate nn .
yesamrich soma/jiandae kimyakimya sio mpaka members wote wa JF tujue kuwa una Usaili...!!
Wewe ukimaliza hyo interview basi Huku kwenye issue ya Status ndo utakuwa na wenge balaaaaaah😁