Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Ndo mambo ya riziki mkuu tuendlee tu kupambana usikate tamaa
Sometimes unajipa matumaini maana Kuna kada unakutana nao unakuta hawajawah kuona ajira zao zikitangazwa. Kuna jamaa wamesoma Course inaitwa Law Enforcement ya UDSM pale wanakwambia hawajawah Ona hata Utumishi waliwaita kwenye usaili au wakitangaza kazi zao.
Kama una received za kutosha n jambo la kumshukuru Mungu
 
Sometimes unajipa matumaini maana Kuna kada unakutana nao unakuta hawajawah kuona ajira zao zikitangazwa. Kuna jamaa wamesoma Course inaitwa Law Enforcement ya UDSM pale wanakwambia hawajawah Ona hata Utumishi waliwaita kwenye usaili au wakitangaza kazi zao.
Kama una received za kutosha n jambo la kumshukuru Mungu
Hatarii sana
 
Wengine bench miaka 7 Mpaka tunataman Tupate hata kaz za kufagia alimradi Mkono uende kinywani. Wanaibuka madogo wa juzi tu unawaona kwenye PDF. Stress stress
Pole mkuu. Najua ugumu wa kukaa benchi. Wakati nikiwa benchi niliwahi kwenda kuomba kazi NPS wakanishtukia wakidhani mm labda usalama wa taifa. Wakapewa wenye elimu ya chini mm nikaachwa. Usiombe kupigika mtaani kkwa muda mrefu. Hukawii kwenda kuomba kazi ya kuzoa taka halmashauri. Ni balaa!
 
Mi nimebakiza siku 340 ni dhibitishwe kazini alaf mapambano yaendelee kwenye dimbwi la asali,hili swala la kuhama huwa likoje?mpk upaate kwanza nafasi kwenye hiyo taasisi unayoenda(mfn kwa placement)au unahamaje hamaje ndungu?
Yes kuhama lazima upate nafasi ya kuhamia unaomba pia taratibu nyingine zinaendelea linahusisha pande 3 unakohama,unakohamia na utumishi
 
Mtihani wa maswali manne 4 una mchakato balaa kuliko pepa ya form four na six hata chuo kikuu.

Jobless wanapitia msoto mkali.

IT tupia kitu uwafurahishe majobless wewe ni jembe lao, usiwasaliti. Dawa ya majonzi yao ni kuona shuhuda kila siku.

💥💥💥 IT kazi iendelee, wewe ni mtu wetu.
 
Back
Top Bottom