Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,544
- 5,670
Yes lazima kitaeleweka tu aseeKomaa mkuu si una cheki namba now....hamna linaloshindikana
Yes lazima kitaeleweka tu aseeKomaa mkuu si una cheki namba now....hamna linaloshindikana
Sawa mkuu Asante ..wazee wa asali mnazungumziaje asali za vyuoni huko?Wizara ya ambayo inashugulika na elimu ya juu
IT anafanya mambo huko ko tukae kwa kutulia majobles.
Kitaa sio Poa....kuna mda unawaza mengi hupati majibu !!!!Tuone leo kama jobless tunaweza pungua mtaani
PSRS wana msiba, huyu sijui ni kitengo gani aiseee, Mungu asaidie asiwe yule IT wetu wa kutupia ma PDF
AmeenPdf itakayowekwa iwe na page 20+ wote tuseme Ameen
Aweke PDF ndefu hata kama ni ya wafagiaji alimradi watu Tupate check numberPdf itakayowekwa iwe na page 20+ wote tuseme Ameen
Duuh!! Hapa ndo unanisanua hebu ngoja niwatafute nione wanasemaje..!We unataka placement gani, wakati wenzako wapo makazini ?
Ukifanya oral unatakiwa kila pdf linalotoka ulidownloada na kupitia kila jina mkuu. Angalia pdf zilizopita kuna majina ya trcSq Mimi hii taarfa imenipitaje jamani au ndo wamekata hewani
Nenda kwenye website ya PSRS kwenye archive, angalia mikeka ya nyuma.Duuh!! Hapa ndo unanisanua hebu ngoja niwatafute nione wanasemaje..!
Hatarii sanaa dahsiku 5 bila pdf si msiba wa taifa huu
Hawajatuzoesha vijana, wakitoa watoe mkeka wa kuelewekasiku 5 bila pdf si msiba wa taifa huu
Wasafishe database aiseeHawajatuzoesha vijana, wakitoa watoe mkeka wa kueleweka
NPS hii ya Mashtaka au hii ya parking?Pole mkuu. Najua ugumu wa kukaa benchi. Wakati nikiwa benchi niliwahi kwenda kuomba kazi NPS wakanishtukia wakidhani mm labda usalama wa taifa. Wakapewa wenye elimu ya chini mm nikaachwa. Usiombe kupigika mtaani kkwa muda mrefu. Hukawii kwenda kuomba kazi ya kuzoa taka halmashauri. Ni balaa!
Parking mkuuNPS hii ya Mashtaka au hii ya parking?