Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

daah wizara ya kilimo wamekauka sana aiseeh
TFRA
NFRA
ASA
NIRC
TARI NK WOTE WAMEKAUSHA, naziona halmashauri tu
Hata halmashauri sio mbaya champ kwa sisi tulio mtaani hatuna machaguzi zaidi ya kuchagua kitu kimoja jina kutokea kwenye placement issue ya wap au wap hatafikia hyo hali,

Wengi ukisikia wanachagua sehem utakuta wapo NGO
 
Habari wadau, namshukuru Mungu na mimi leo nimepata placement kupitia database. Nilifanya written mbili mwezi Februari mwaka huu nikakandwa zote sikutoboa kuingia oral. Mwezi juni nikatinga tena Dodoma nikafanikiwa kupiga oral, zikatoka placement taasisi niliyopiga oral sikuwepo.
Leo nimefanikiwa kutokea kwenye mkeka. Niwatie moyo ndg zangu tuendelee kumuomba Mungu hakuna kukata tamaa naamini kila mtu atalamba asali humu. Huu uzi umebarikiwa sana, nilikua nikiona shuhuda humu zilikua zikinitia moyo na mimi siku moja nitatokea kwenye mkeka, hatimaye siku leo imetimia.
Status ni selected for oral both web na app.
 
Habari wadau, namshukuru Mungu na mimi leo nimepata placement kupitia database. Nilifanya written mbili mwezi Februari mwaka huu nikakandwa zote sikutoboa kuingia oral. Mwezi juni nikatinga tena Dodoma nikafanikiwa kupiga oral, zikatoka placement taasisi niliyopiga oral sikuwepo.
Leo nimefanikiwa kutokea kwenye mkeka. Niwatie moyo ndg zangu tuendelee kumuomba Mungu hakuna kukata tamaa naamini kila mtu atalamba asali humu. Huu uzi umebarikiwa sana, nilikua nikiona shuhuda humu zilikua zikinitia moyo na mimi siku moja nitatokea kwenye mkeka, hatimaye siku leo imetimia.
Status ni selected for oral both web na app.
Congrats, uliomba kada gani?
 
Habari wadau, namshukuru Mungu na mimi leo nimepata placement kupitia database. Nilifanya written mbili mwezi Februari mwaka huu nikakandwa zote sikutoboa kuingia oral. Mwezi juni nikatinga tena Dodoma nikafanikiwa kupiga oral, zikatoka placement taasisi niliyopiga oral sikuwepo.
Leo nimefanikiwa kutokea kwenye mkeka. Niwatie moyo ndg zangu tuendelee kumuomba Mungu hakuna kukata tamaa naamini kila mtu atalamba asali humu. Huu uzi umebarikiwa sana, nilikua nikiona shuhuda humu zilikua zikinitia moyo na mimi siku moja nitatokea kwenye mkeka, hatimaye siku leo imetimia.
Status ni selected for oral both web na app.
Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwadilifu na mchapa kazi
 
Habari wadau, namshukuru Mungu na mimi leo nimepata placement kupitia database. Nilifanya written mbili mwezi Februari mwaka huu nikakandwa zote sikutoboa kuingia oral. Mwezi juni nikatinga tena Dodoma nikafanikiwa kupiga oral, zikatoka placement taasisi niliyopiga oral sikuwepo.
Leo nimefanikiwa kutokea kwenye mkeka. Niwatie moyo ndg zangu tuendelee kumuomba Mungu hakuna kukata tamaa naamini kila mtu atalamba asali humu. Huu uzi umebarikiwa sana, nilikua nikiona shuhuda humu zilikua zikinitia moyo na mimi siku moja nitatokea kwenye mkeka, hatimaye siku leo imetimia.
Status ni selected for oral both web na app.
Hongera sana mwamba.
 
Siku moja.

Nikiwa kazini nakutana na missed call kama 10 hivi na message kama 8.

Simu nilikuwa nimeicha mezani kutokana na kazi yangu ninayoifanya hainiruhusu Sana kutumia simu.

Naenda kwenye sms nakuta jamaa yangu mmoja ameniandikia Hongera Sana.

Sms ya pili ni kadada kamoja nilikutana nacho psrs nacho kananiambia hongera rafiki nimeliina jina lako Moja ya taasisi.

Ninaamua niachane na kusoma sms nijaribu kupiga simu kwa rafiki yangu mmoja aliyelamba asali tayari moja ya taasisi kubwa nchini nakuta simu.inatumika.

Tusichoshane naingia kwenye browser naadika ajira portal na check Majina ya walioitwa kazini siamini macho yangu naona jina langu limeeandika kwa wino mweusi herufi kubwa na barua ikinitaka nikachukue barua siku 14.

Moyo unalipuka na furaha na machozi.

Nikikumbuka mateso na machungu ya kutafuta ajira.

Gharama nilizitumia kwenda dodoma kuna muda nalala kwenye mabar siku moja kabla ya interview.

Aisee...Hii ni story nimejaribu kutunga siku nitakayoajiriwa.

Mm nasubiri kuitwa kazini siku sijui wala mwaka na saa.

Ahsanteni.
 
Siku moja.

Nikiwa kazini nakutana na missed call kama 10 hivi na message kama 8.

Simu nilikuwa nimeicha mezani kutokana na kazi yangu ninayoifanya hainiruhusu Sana kutumia simu.

Naenda kwenye sms nakuta jamaa yangu mmoja ameniandikia Hongera Sana.

Sms ya pili ni kadada kamoja nilikutana nacho psrs nacho kananiambia hongera rafiki nimeliina jina lako Moja ya taasisi.

Ninaamua niachane na kusoma sms nijaribu kupiga simu kwa rafiki yangu mmoja aliyelamba asali tayari moja ya taasisi kubwa nchini nakuta simu.inatumika.

Tusichoshane naingia kwenye browser naadika ajira portal na check Majina ya walioitwa kazini siamini macho yangu naona jina langu limeeandika kwa wino mweusi herufi kubwa na barua ikinitaka nikachukue barua siku 14.

Moyo unalipuka na furaha na machozi.

Nikikumbuka mateso na machungu ya kutafuta ajira.

Gharama nilizitumia kwenda dodoma kuna muda nalala kwenye mabar siku moja kabla ya interview.

Aisee...Hii ni story nimejaribu kutunga siku nitakayoajiriwa.

Mm nasubiri kuitwa kazini siku sijui wala mwaka na saa.

Ahsanteni.
Hahahaha sawa jobless pro max
 
Siku moja.

Nikiwa kazini nakutana na missed call kama 10 hivi na message kama 8.

Simu nilikuwa nimeicha mezani kutokana na kazi yangu ninayoifanya hainiruhusu Sana kutumia simu.

Naenda kwenye sms nakuta jamaa yangu mmoja ameniandikia Hongera Sana.

Sms ya pili ni kadada kamoja nilikutana nacho psrs nacho kananiambia hongera rafiki nimeliina jina lako Moja ya taasisi.

Ninaamua niachane na kusoma sms nijaribu kupiga simu kwa rafiki yangu mmoja aliyelamba asali tayari moja ya taasisi kubwa nchini nakuta simu.inatumika.

Tusichoshane naingia kwenye browser naadika ajira portal na check Majina ya walioitwa kazini siamini macho yangu naona jina langu limeeandika kwa wino mweusi herufi kubwa na barua ikinitaka nikachukue barua siku 14.

Moyo unalipuka na furaha na machozi.

Nikikumbuka mateso na machungu ya kutafuta ajira.

Gharama nilizitumia kwenda dodoma kuna muda nalala kwenye mabar siku moja kabla ya interview.

Aisee...Hii ni story nimejaribu kutunga siku nitakayoajiriwa.

Mm nasubiri kuitwa kazini siku sijui wala mwaka na saa.

Ahsanteni.
Hahaha aisseee
 
Back
Top Bottom