Napata ukakasi kuwa magari mengi hapo mwishoni yalifichwa kusajiliwa ili wasubiri namba E, maana gari zilikuwa zinaingia watu wako na chasis tu wanategeana watu wamalizie waanze herufi mpya.
Huu ni umasikini sana sana kwa wenye magari madogo madogo eg, raum, IST, rumion passo nk. hawa watu wanauza gari zao kwa masikini wenzao kulingana na umri wa plate namba. Watu wenye pesa pesa kidogo kuvuta Vanguard, Harrier hili swala la kusubiri herufi E wala hawakuwa nalo ni hawa newcomers sana sana.
Mtaani kuna LC300, mwenye nalo hakuwaza hata limepewa DZU. Baada ya usajili E kuanza naona kasi yake ni kubwa kuliko DZ, mwishoni ilinata sana.
Huu ni umasikini sana sana kwa wenye magari madogo madogo eg, raum, IST, rumion passo nk. hawa watu wanauza gari zao kwa masikini wenzao kulingana na umri wa plate namba. Watu wenye pesa pesa kidogo kuvuta Vanguard, Harrier hili swala la kusubiri herufi E wala hawakuwa nalo ni hawa newcomers sana sana.
Mtaani kuna LC300, mwenye nalo hakuwaza hata limepewa DZU. Baada ya usajili E kuanza naona kasi yake ni kubwa kuliko DZ, mwishoni ilinata sana.