Kwanini USA wanaiharakisha Tanzania kusaini mkataba wa LNG???

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,088
2,705
Najiuliza ni nini wanataka wafiche?? Kwanini wasiache nchi iupitie na kuuelewa vizuri??
Tunajua hizi nchi hazijuagi biashara ila zinajua kuiba, kuchochea migogoro na kudhulumu au kunyonyaa!

Kwa wasio fahamu mradi wa LNG ni mradi wa gesi iliyogunduliwa Lindi, Mtwara nchini Tanzania .Serikali ya Tanzania ilipanga kufanya na kampuni ya marekani Exxon Mobil

US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu amesema

Walikua wako tayari Kuachilia mbali. (willing to walk away)kulingana na kucheleweshwa.

“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,”

Jicho la kipembuzi kuna nini ?? Kati ya hapo nani alitakiwa awe na haraka??

Najua sababu zinaweza kua nyingi ikiwemo uzembe, urasimu na bureaucracy ….lakini pia nadhani na mkataba utakua una unyonyaji mwingi au una vipengele tatanishi kulingana na historia ya mikataba ya hizi nchi za kibepari na kibaradhuri.

source:
 

Attachments

  • BD6037DD-43DD-4CBD-87CE-2A68A9F3A11B.jpeg
    BD6037DD-43DD-4CBD-87CE-2A68A9F3A11B.jpeg
    320.3 KB · Views: 1
Kuna point na wao wanayo, huwez kuwa unasubiri deal moja tu miaka na miaka bila sababu za msingi, wakati bidhaa kama hio inapatikana dunia nzima, tunatakiwa tuseme, sisi ges yetu tutachimba 2035 niny sepen kwa sasa, au tuwaambie haya njoon tufanye kazi,
Muda ni pesa, kujizungusha bila sababu nayo ni mbaya
 
Kuna point na wao wanayo, huwez kuwa unasubiri deal moja tu miaka na miaka bila sababu za msingi, wakati bidhaa kama hio inapatikana dunia nzima, tunatakiwa tuseme, sisi ges yetu tutachimba 2035 niny sepen kwa sasa, au tuwaambie haya njoon tufanye kazi,
Muda ni pesa, kujizungusha bila sababu nayo ni mbaya
Mkuu mkataba wa miaka mia (100) unakua na vipengere vingi sijui kama ushawai kuona mkataba wowote mkubwa,,,

Ni kitu cha kutulia na kujadili kwasababu huwa una condition nyingi sana
 
Najiuliza ni nini wanataka wafiche?? Kwanini wasiache nchi iupitie na kuuelewa vizuri??
Tunajua hizi nchi hazijuagi biashara ila zinajua kuiba, kuchochea migogoro na kudhulumu au kunyonyaa!

Kwa wasio fahamu mradi wa LNG ni mradi wa gesi iliyogunduliwa Lindi, Mtwara nchini Tanzania .Serikali ya Tanzania ilipanga kufanya na kampuni ya marekani Exxon Mobil

US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu amesema

Walikua wako tayari Kuachilia mbali. (willing to walk away)kulingana na kucheleweshwa.

“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,”

Jicho la kipembuzi kuna nini ?? Kati ya hapo nani alitakiwa awe na haraka??

Najua sababu zinaweza kua nyingi ikiwemo uzembe, urasimu na bureaucracy ….lakini pia nadhani na mkataba utakua una unyonyaji mwingi au una vipengele tatanishi kulingana na historia ya mikataba ya hizi nchi za kibepari na kibaradhuri.

source:
Kwani wakiacha atapata hasara nani? Sana sana mtawalipa gharama za usumbufu
 
Mkuu mkataba wa miaka mia (100) unakua na vipengere vingi sijui kama ushawai kuona mkataba wowote mkubwa,,,

Ni kitu cha kutulia na kujadili kwasababu huwa una condition nyingi sana
Mzee hata mkataba uwe mkubwa vipi, si mkae mtengeneze team zideal na huo mkataba, ndani ya mwaka zijur zinaendelea au zinaachana nao
 
Kwani wakiacha atapata hasara nani? Sana sana mtawalipa gharama za usumbufu
Hamna hasara …. wawekezaji ni wengi

Wao ndio watapata hasara. Miaka yote iliyokua ipo ardhini tulikua tunapata hasara??
Gas siyo nyanya mbichi kua zitaoza
 
Hatuna umeme wa kutosheleza kwa mitambo hiyo...umeme umekuwa shida kwa miaka 60, wataweza kuweka maslahi kwa mkataba kama huo?

Wanachelewesha ili waangalie wananufaika vipi?

IPTL, Richmond, Symbion, Aggreko, DPW, n.k
 
Tanzania kila kitu kwetu ni hasara hakuna kitu tanachofaidika nacho gesi ya songosongo imeuzwa kwa watu zile ahadi za Kikwete umeme utakuwa historia tumezisahau kabisa
 
Kuna point na wao wanayo, huwez kuwa unasubiri deal moja tu miaka na miaka bila sababu za msingi, wakati bidhaa kama hio inapatikana dunia nzima, tunatakiwa tuseme, sisi ges yetu tutachimba 2035 niny sepen kwa sasa, au tuwaambie haya njoon tufanye kazi,
Muda ni pesa, kujizungusha bila sababu nayo ni mbaya

Tech inabadilika pia, dunia inashift kwenda kwenye vyombo vya umeme zaidi! Mwekezaji yoyote mwenye akili anapredict masoko pia miaka 20-50 ijayo tena kwa uwekezaji mkubwa namna hiyo, mtakaa nayo wkt wala rushwa wa ccm wanafuta vipengele vya kupiga na kuwazuga eti mtaibiwa siku wanasign na account zao zimejaa matrilioni na soko limeshuka inakula kwenu wakati mwekezaji anajilipa! Mtaimbishwa mapambio hadi mkome! Natural resources zimekuwa kama ni laana tu kwa mtu mweusi
 
Back
Top Bottom