Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,471
Serikali ya Tanzania hivi karibuni inatarajia kutia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa gesi asilia "LNG (liquified Natural Gas) Lindi" wenye thamani takribani dolla za Marekani Billioni 30 (trillioni 70).
Kwa mujibu wa gazeti la daily News, mradi huu mkubwa wa gas asilia pamoja na mambo mengine unatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya nishati, viwanda, miundombinu, Kilimo, huduma za kijamii na kuongeza wigo wa ajira kwa watanzania.
Aidha, pamoja na mambo mengine serikali inatarajiwa kupata faida kubwa itakayotokana na faida ya mradi huo kwa gawio la zaidi ya 50%.
Mradi huo pia unatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi ktk mikoa ya kusini mwa Tanzania hasa ktk mkoa wa Lindi.
#KAZI IENDELEE
Updates: 11.2.2022 Serikali imeasaini makubaliano ya mradi wa gas asilia wa LNG na kampuni ya Equinor
Kwa mujibu wa gazeti la daily News, mradi huu mkubwa wa gas asilia pamoja na mambo mengine unatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya nishati, viwanda, miundombinu, Kilimo, huduma za kijamii na kuongeza wigo wa ajira kwa watanzania.
Aidha, pamoja na mambo mengine serikali inatarajiwa kupata faida kubwa itakayotokana na faida ya mradi huo kwa gawio la zaidi ya 50%.
Mradi huo pia unatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi ktk mikoa ya kusini mwa Tanzania hasa ktk mkoa wa Lindi.
#KAZI IENDELEE
Updates: 11.2.2022 Serikali imeasaini makubaliano ya mradi wa gas asilia wa LNG na kampuni ya Equinor