lng

Liquefied natural gas (LNG) is natural gas (predominantly methane, CH4, with some mixture of ethane, C2H6) that has been cooled down to liquid form for ease and safety of non-pressurized storage or transport. It takes up about 1/600th the volume of natural gas in the gaseous state (at standard conditions for temperature and pressure).
LNG is odorless, colorless, non-toxic and non-corrosive. Hazards include flammability after vaporization into a gaseous state, freezing and asphyxia. The liquefaction process involves removal of certain components, such as dust, acid gases, helium, water, and heavy hydrocarbons, which could cause difficulty downstream. The natural gas is then condensed into a liquid at close to atmospheric pressure by cooling it to approximately −162 °C (−260 °F); maximum transport pressure is set at around 25 kPa (4 psi) (gauge pressure), which is about one-fourth times atmospheric pressure at sea level.
The gas extracted from underground hydrocarbon deposits contains a varying mix of hydrocarbon components, which usually includes mostly methane (CH4), along with ethane (C2H6), propane (C3H8) and butane (C4H10). Other gases also occur in natural gas, notably CO2. These gases have wide-ranging boiling points and also different heating values, allowing different routes to commercialization and also different uses. The "acidic" elements such as hydrogen sulphide (H2S) and carbon dioxide (CO2), together with oil, mud, water, and mercury, are removed from the gas to deliver a clean sweetened stream of gas. Failure to remove much or all of such acidic molecules, mercury, and other impurities could result in damage to the equipment. Corrosion of steel pipes and amalgamization of mercury to aluminum within cryogenic heat exchangers could cause expensive damage.
The gas stream is typically separated into the liquefied petroleum fractions (butane and propane), which can be stored in liquid form at relatively low pressure, and the lighter ethane and methane fractions. These lighter fractions of methane and ethane are then liquefied to make up the bulk of LNG that is shipped.
Natural gas was considered during the 20th century to be economically unimportant wherever gas-producing oil or gas fields were distant from gas pipelines or located in offshore locations where pipelines were not viable. In the past this usually meant that natural gas produced was typically flared, especially since unlike oil, no viable method for natural gas storage or transport existed other than compressed gas pipelines to end users of the same gas. This meant that natural gas markets were historically entirely local, and any production had to be consumed within the local or regional network.
Developments of production processes, cryogenic storage, and transportation effectively created the tools required to commercialize natural gas into a global market which now competes with other fuels. Furthermore, the development of LNG storage also introduced a reliability in networks which was previously thought impossible. Given that storage of other fuels is relatively easily secured using simple tanks, a supply for several months could be kept in storage. With the advent of large-scale cryogenic storage, it became possible to create long term gas storage reserves. These reserves of liquefied gas could be deployed at a moment's notice through regasification processes, and today are the main means for networks to handle local peak shaving requirements.

View More On Wikipedia.org
  1. stephenga

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Mara nyingi tunasikia majina haya matatu—LNG, LPG na CNG—lakini kwa Mtanzania wa kawaida ni vigumu kuelewa tofauti zake na matumizi yake. Ningependa wataalamu wa nishati watuelimishe kwa lugha rahisi: LNG ni nini, na hutumika zaidi wapi? LPG ni nini, na kwa nini ndiyo gesi inayotumika...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Meli kubwa zaidi ya LNG yaweka rekodi mpya duniani

    Meli kubwa ya makontena duniani inayotumia gesi ya LNG, CMA CGM NOTRE DAME, imeandika historia baada ya kufanyiwa kwa mara ya kwanza ujazaji wa mafuta ya Bio-LNG katika Bandari ya Rotterdam, Uholanzi. Bio-LNG ni aina ya mafuta yanayotengenezwa kutoka kwenye taka za kilimo na mabaki ya viumbe...
  3. TPPB_Tanzania

    JamiiForums Tanzania Are you clear on the operational and chemical distinctions between Liquified Petroleum Gas (LPG) and Liquified Natural Gas (LNG)?

    This comprehensive infographic breaks down the two energy sources into 5 core pillars to illustrate their unique characteristics and use cases: 1. Composition: LPG is a mix of propane (C₃H₈) and butane (C₄H₁₀), whereas LNG is primarily methane (CH₄). 2. Storage & Temperature: LPG liquefies...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Dangote ana dola bilioni 45 zinasuburi kuwekezwa kwenye LNG plant Nigeria na refinery East Africa. 2030 miradi hiyo itakuwa tayari.

    Msikilize mwenyewe. https://youtube.com/watch?v=jVs4NBoHZic&si=JzFKdd-vhBYoxp9O
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa Kashaugawa Mradi wa Gesi Asilia Kimiminika (LNG), Tanzania kupewa 03% tu!

    Ikishangaa ya mafuta utaona ya Gesi asilia. Tayari kashaigawa gesi yetu yote ya Kusini. Nna Makubaliano ni kwamba Tanzania itapewa Mgawo wa asilimia 3 tu ye Gesi yote itakayo kwa matumizi ya ndani. Huyu Mzanzibari Samia Suluhu anataka aache ametufilisi kabla hajamaliza miezi yake ilobaki...
  6. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Waliokuja na mawazo ya treni ya umeme pamoja na BRT za LNG waliona mbali sana

    https://x.com/silvertrade/status/2027783355656261817?s=20
  7. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Misri meli zinajaa kwenye foleni kupakia Gesi, Msumbiji wanaanza mradi wa LNG, Tanzania wanasubiri nani anatoa kushwa kubwa wampe mradi

    Mwaka wa 15 sasahivi tongu zianze kuletwa hadithi za mradi wa LNG Tanzania na mradi huo haujaanza hata kidogo mpaka Leo. Tongu hadithi hizi zianze kuzungumzwa hakuna cha mradi wowote wa LNG umewahi kuonekana zaidi ya hadithi za hekaya za Abunuasi. Wakati hayo yanafanyika jirani Msumbiji...
  8. B

    JamiiForums Tanzania WAWEKEZAJI wakuu katika mradi wa gesi kimiminika (LNG) Tanzania, wachagiza mchakato uharakishwe

    WAWEKEZAJI wakuu katika mradi wa gesi kimiminika (LNG) wahimiza Tanzania iharakishe mchakato, mradi Uanze https://m.youtube.com/watch?v=29vTb7IfVy4 Katika viunga vya mkutano huo wa Wiki ya Nishati India ( IEW India Energy Week) naibu waziri mkuu aliye waziri wa nishati mheshimiwa Dr. Doto...
  9. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Uingereza wamebaki na hifadhi ya Gesi ya Wiki moja tu huku Tanzania majadiliano ya Mradi wa LNG yakichukua mwaka wa 4 sasa hayajakamilika

    Kusema ukweli kuna muda huwa naamini nchi yetu imerogwa. Au ilishawahi kurogwa huko nyuma. Tangu vita vya Ukraine kuanza Gesi imekuwa bidhaa adhimu na ya thamani sana duniani. Mataifa mbalimbali yenye Gesi yalichangamka kuanza uzalishaji na yale yanayozalisha yalizalisha zaidi na kutengeneza...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Visiwani kuanza uchimbaji gesi kabla ya LNG ya Lindi?

    Inawezekana Visiwani wakaanza mradi mkubwa wa uchimbaji gesi kabla ya mradi wa uchimbaji gesi ya LNG Lindi? Naona upande mmoja umekuwa kimya sana ilhali upande mwingine mambo yameshika kasi...... Pia Soma: Mradi wa gesi-Lindi LNG Wa Thamani ya Trilioni 105 Hatihati Kukwamishwa na Michakato...
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Picha za mradi wa LNG msumbiji.

  12. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yashindwa kusaini mradi wa LNG kwa miezi 9 sasa bila sababu. Je tuendelee kumlaumu Hayati Magufuli?

    Wadau kama link inavyosema hapo chini. Nini tatizo? === Tanzania is delaying key agreements needed to realize a $42 billion liquefied natural gas plant, slowing a project that developers Equinor ASA and Shell Plc warn has limited time to become a reality before demand for fossil fuels begins...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Miaka 3 na miezi 4 imeisha hakuna Bandari ya Bagamoyo wala LNG. Je, ni sawa kusema Hayati Magufuli alikuwa anakwamisha?

    Wanajamvi wakati wa Jiwe Miradi ya Bandari Bagamoyo na ya gas LNG iliposimama wote humu tulimusimanga jiwe kuwa ni mkorofi ndo kasababisha hata Bandari ya Bagamoyo kutojengwa na wachina n waomani. LNG nayo haikuanza. Nakumbuka wakati wa magufuri ilibidi watangazi kazi ya mshauri mkuu wa masuala...
  14. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

    MJADALA HURU WA KITAIFA KUHUSU MRADI WA GESI ASILIA MIMINIKA (LNG) MWAKA 2024 SEKTA NDOGO YA MAFUTA NA GESI Mabibi na mabwana, wanasiasa, wafanya biashara, wajasiliamali, wanazuoni, wataalam wa fedha, wataalam wa uchumi, wahasibu, walimu, madaktari, wataalam wa mafuta na gesi, wataalam wengine...
  15. Mr Chromium

    JamiiForums Tanzania Kwanini USA wanaiharakisha Tanzania kusaini mkataba wa LNG???

    Najiuliza ni nini wanataka wafiche?? Kwanini wasiache nchi iupitie na kuuelewa vizuri?? Tunajua hizi nchi hazijuagi biashara ila zinajua kuiba, kuchochea migogoro na kudhulumu au kunyonyaa! Kwa wasio fahamu mradi wa LNG ni mradi wa gesi iliyogunduliwa Lindi, Mtwara nchini Tanzania .Serikali ya...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini mikataba ya LNG and hii ya DP World ni ya siri?

    Serikali inasema kwasasa wanamalizia mazungumzo ya mkataba wa LNG wakati huo huo DP World wamesaini mikataba mingine. Sasa ni kwanini hiyo mikataba haiendi bungeni na kuwekwa wazi? Juzi tu hapa tulikuwa tunawaambia wabunge wawe makini sasa mnaona hata wenyewe hawajaona mikataba zaidi ya ule...
  17. GodfreyTara

    JamiiForums Tanzania Mradi wa LNG Tanzania: Fursa, Changamoto na Mwelekeo wake

    Tanzania, nchi iliyobarikiwa na utajiri wa maliasili, ikiwemo gesi asilia ambayo kwa ujumla wake ni futi trilioni 57.25 za ujazo wa gesi . Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya nishati kwa kuanzisha Mradi wa Tanzania Liquefied Natural Gas (LNG). Mradi huu una lengo la kuchakata gesi...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina aivaa Wizara ya Nishati, asema imevunja sheria kwenye majadiliano ya LNG

    MCHANGO WA MBUNGE WA JIMBO LA KISESA, MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) AKICHANGIA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2023/2024 BUNGENI DODOMA TAREHE 1 JUNI 2023 Changamoto kwenye mradi wa LNG: (i) Hakuna taarifa ya kufanyiwa mapitio ya PSA katika vitalu na 1, 2...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Bandari inauzwa kwa waarabu, Gesi LNG inauzwa kwa uingereza, Mbowe, Lissu, Zitto mko wapi kupaza sauti?

    Tumesikia ishu ya bandari kuuziwa mwarabu, mradi wa LNG nao mkataba wake haueleweki wa namna Tanzania itakavyonufaika, barabara ya kibaha moro dodoma kuendeshwa na mwekezaji na kulipiwa tozo kila ukipita, madudu yote yanaendelea lakini Zitto, MBowe na Lissu wako kimya kupaza sauti kuhusu ishu...
  20. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania January Makamba: Majadiliano mradi wa kuchakata na kusindika Gesi Asilia (LNG) yakamilika

    Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na Equinor ya Norway na washirika wao yamekamilika na kwamba sasa wataalam wapo katika kazi ya kuandika...
Back
Top Bottom