Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?