Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

Jamani hivi kwanini Ureno ni masikini wakati iko Ulaya na iliitawala Afrika kwa miaka miatano.
upload_2018-6-1_11-22-5.png

WABONGO mnajisahau sana........Portugal sio mwenzetu na hawawezi kufananishwa na uchafu!
 
Raia wao ndiyo manamba wa Ujerumani, Swiss na Uingereza. Kazi zao nyingi ni kusafisha nyumba na maofisi, kupiga pasi, kuuza migahawa hasa ya kahawa, kutandika vitanda mahotelini nk. Kwa kifupi none skilled labourers
Ukahisi kwamba nchi yao ni maskini?
Wabongo tunajisahau sanaaaaaaaaa!
upload_2018-6-1_11-30-3.png
 
Majeshi ya Zanzibar yalikuwa msitari wa mbele katika katika kuwang'oa wareno katika mji wa Mombasa.
 
Wareno waliutikisa mwambao wa Afrika ya mashariki kwa kutoa dozi za vipigo kuanzia Sofala Kilwa hadi Mombasa walipovamia Somalia ndipo walipojichanganya.
 
Kipigo walichopokea Wareno kutoka katika mji wa Banadir kiliwafanya wauache mwambao wa Afrika ya mashariki kwa miongo mingi na kuinyanyulia mikono pwani ya Somalia.
 
Baada ya Wareno kupokea kipigo Ajuraan Sultan akashirikiana na Sultani wa Zanzibar na wakakomboa Mombasa Kilwa hadi Mikindani na Sofala ndio ukawa mwisho wa Ubabe wa kireno kwa miongo mingi
 
Wewe unaumwaaaaaa......
Italy ipo G7 na ni nchi ya nne kwa ukubwa wa uchumi bara la Ulaya.
Ya kwanza Germany, UK, France alafu Italy!
Eti Angola nayo ni nchi maskini....angalia orodha ya nchi tajiri hapa Afrika alafu uje tena!
Huko France catholic imetawala.
 
Ukatoliki ulienea Ulaya yote hata Urusi na Poland. Ni baada ya Mfalme Henry kuanzisha Church of England na Martin Luther kuanzisha Lutheran lakini Italy, France, Portugal na Spain bado Ukatoliki una nguvu.
Asilimia 80 ya wafaransa ni wakatoliki. 90% ya wabrazil ni wakatoliki.
 
Waitaliano walifanikiwa kujinyakulia sehemu ya Somalia
Hiyo ni baada ya miongo mingi,wababe wa ulaya walipokuja tena Afrika ndipo walipowagawanya Wasomali katika makoloni matano British Somaliland French Somaliland (Djibouty)na Italian Somaliland na sehemu nyingine wakampa Negus Menelik wa Ethiopia.kipande kingine Waingereza wakakifanya kiwe ndani Republic of Kenya.
 
hawa jamaa kipindi icho walikuwa na maisha ya kuzurura(vagabond) badala ya kujenga nyumbani.Walikuwa wanaamini kuna mji wa kusadikika uliojaa dhahabu (El dorado) kwa hiyo wakatumia muda na nguvu nyingi kuutafuta bila mafanikio.walipenda vya buree (kwa sauti ya jiwe)
 
Back
Top Bottom