Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

moors1.jpg

Makamanda wa kimoor katika nchi ya Spain na Ureno.
 
Hata Wareno kutawala nchi za bara la Afrika kwa miaka mia tano inatafsiriwa kuwa ni kama kulipa kisasi..
 
Sehemu ambayo Katoliki imetamalaki ni maskini eg. Italy, Mexico, south America yote, Afrika-Mozambique, Angola n.k
 
Ni ajabu hata uchumi wa south Africa ni mkubwa kuliko wa Spain wale majirani Portugal na Spain wamepewa nguvu wamenyimwa akili ndio maana wana wachezaji wazuri wa kabumbu lakini hawana brain za mainjinia.
Wewe hujielewi eti uchumi wa South Africa ni mkubwa kuliko Spain
Spain unaijua au unaiskia?
GDP Spain = $1.5 trillion
GDP South Africa = $326 billion
 
Sehemu ambayo Katoliki imetamalaki ni maskini eg. Italy, Mexico, south America yote, Afrika-Mozambique, Angola n.k
Wewe unaumwaaaaaa......
Italy ipo G7 na ni nchi ya nne kwa ukubwa wa uchumi bara la Ulaya.
Ya kwanza Germany, UK, France alafu Italy!
Eti Angola nayo ni nchi maskini....angalia orodha ya nchi tajiri hapa Afrika alafu uje tena!
 
Wewe unaumwaaaaaa......
Italy ipo G7 na ni nchi ya nne kwa ukubwa wa uchumi bara la Ulaya.
Ya kwanza Germany, UK, France alafu Italy!
Eti Angola nayo ni nchi maskini....angalia orodha ya nchi tajiri hapa Afrika alafu uje tena!
GDP haisemi ukweli kuhusu utajiri wa mwananchi mmoja mmoja usidanganyike....hata hapa TZ wakihesabu utajiri wa ma-tycoon then wagawanye kwa idadi ya watu TZ itaonekana ina utajiri kushinda nchi kadhaa ulaya (ya mashariki).
 
upload_2018-6-1_11-17-22.png
GDP haisemi ukweli kuhusu utajiri wa mwananchi mmoja mmoja usidanganyike....hata hapa TZ wakihesabu utajiri wa ma-tycoon then wagawanye kwa idadi ya watu TZ itaonekana ina utajiri kushinda nchi kadhaa ulaya (ya mashariki).
ITALY IS NOT A POOR COUNTRY WEWE!
Matycoon wa tanzania hawawezi kuiweka katika nchi za G7.....unajua kigezo cha kuwa member wa G7? IT MEANS YOU HAVE POLITICAL AND ECONOMIC INFLUENCE!
 
Chini ya Papa Augene wa tatu ndio Lisbon ilikombolewa,kulikuwa hakuna kamera back then picha zote zilikuwa ni za kuchora.
pope-eugene-iii-1c406c65-5f25-40c4-b312-52e8a79581d-resize-750.jpeg
 
Back
Top Bottom