Cameroon na Senegal utazifananisha na Tanzania mkuu ?Ila jua west africa ukitoa Nigeria na ghana kidogo hakuna nchi ya kutishia huku east africa.
Kwa nini nchi za Africa mashariki nazo haziendi?Zipo kawaida tu hawana cha kututisha...au kwa vile unawaonaga worldcup?
Wewe jamaa style yako ya kuelezea mambo inafurahisha sanaWareno na Wahispania walitawaliwa na Moors kutoka Afrika.
Bila msaada wa ottoman empire wasingeweza wasomal walikua naconnection kubwa na ottoman but kiukwel wasomal nao wanagene zakimapiganoKwa kweli Waafrika pekee waliotoa kichapo kwa Wareno walikuwa ni Wasomali,tuwape heshima yao.
Muongo wewe hakuna kitu kama hicho. Bill gates na jamaa wa amazon ni tajiri hata kuliko southafrica.Ni ajabu hata uchumi wa south Africa ni mkubwa kuliko wa Spain wale majirani Portugal na Spain wamepewa nguvu wamenyimwa akili ndio maana wana wachezaji wazuri wa kabumbu lakini hawana brain za mainjinia.
Hii mpya sasaWareno na Wahispania walitawaliwa na Moors kutoka Afrika.
Hii mpya sasa
Hii mpya sasa