Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

hawa jamaa kipindi icho walikuwa na maisha ya kuzurura(vagabond) badala ya kujenga nyumbani.Walikuwa wanaamini kuna mji wa kusadikika uliojaa dhahabu (El dorado) kwa hiyo wakatumia muda na nguvu nyingi kuutafuta bila mafanikio.walipenda vya buree (kwa sauti ya jiwe)

Waliokuwa wanatafuta El dorado ni Spaniards.
 
Waliokuwa wanatafuta El dorado ni Spaniards.
hawa jamaa ni kama dada na kaka .yani walichokua wanafanya wanagundua/kuanzisha sehemu alafu mwingereza anakuja kujichukulia kiulaini.
 
Bila hawa jamaa Ukatoliki usingesambaa kama ulivyo leo.
 
Fransisco Pizzaro huyu jamaa alikuwa ni katili sana
Ndio alioazisha story ya El dorado na kwenda kuteka na kuikalia himaya ya Inca
 
170977834.jpg

Francisco Pizzaro.
 
Hawa jamaa sio walaini wana ardhi kuliko Mwingereza Kuanzia Mexico hadi Argentina sio ardhi kidogo Cuba pia ni yao.
Lakini wapo rough sana. Ndio maana mataifa ya amerika ya kusini yana sifa za ovyo ovyo.
 
atahualpa_2.jpg
atahualpa_2.jpg

Atahualpa Atabalipa mfalme wa Himaya ya Inca huyu aliuwawa kikatili sana na Pizzaro.
 
Hawa jamaa sio walaini wana ardhi kuliko Mwingereza Kuanzia Mexico hadi Argentina sio ardhi kidogo Cuba pia ni yao.
mapori ya south america wao ndio wameyasafisha,ila walikuwa na migogoro sana maana hata ayo atuwezi kusema yalikuwa makoloni kwa sababu yalikuwa yana defy order kutoka mother country. maeneo nyeti jamaa waliwafukuza kama pwani ya east afrika,cape town maeneo ya biashara .
 
Hasa Brazil.

Kwann wale jamaa wanapenda sana starehe unlike Europeans ( their forefathers ?)
Hawa jamaa wanatuzidi kuanzia starehe ubabe lifestyle Nchi ambayo tunaweza kujifananisha ni Bolivia na Peru lakini kuanzia Colombia Chile Venezuela mpaka Mehico sio mchezo.
 
Hawa jamaa wanatuzidi kuanzia starehe ubabe lifestyle Nchi ambayo tunaweza kujifananisha ni Bolivia na Peru lakini kuanzia Colombia Chile Venezuela mpaka Mehico sio mchezo.
Attitude ya kupenda starehe wameitoa wapi ?
 
Back
Top Bottom