Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

Kwanini Ureno (Portugal) ni masikini?

M091589.jpg

Mashujaa wa kisomali wakiwa na jasusi Richard Burton ambaye hatimae walimtia mkuki wa mdomoni.
 
mad-mullah.jpg

Hapa Wasomali wakipanbana na himaya ya Uhabeshi ambayo leo inaitwa Ethiopia, vita zisizoisha ndizo zilizowafanya wawe na maarifa ya kijeshi na mbinu.
 
image001-1.jpg

Ukiiangalia vizuri picha, jasusi Richard Burton utaona kovu kwenye shavu la kushoto ambapo mkuki uliingia mdomoni na kutokea kwenye shavu.
 
Wasomali hatimae waliishinda himaya ya Uhabeshi na kuchoma moto makanisa mengi na kuiba misalaba ya dhahabu na shaba ndipo mfalme wa Ureno alipotuma jeshi lenye askari 500 kuja kumsaidia Negus wa Ethiopia ndipo jemadari wa kivita wa Ureno alipokamatwa na kuchinjwa huko Harar.
 
tumblr_m7364t6Tm51rb69ljo1_500.jpg

Michoro katika Tomb la Farao Hachepsut likionyesha wasomali wakiwa wamebeba ubani na udi kwa ajili ya zawadi kwa Farao huyo wa misri ya kale.
 
24337428_1669024253161435_482023528_n.jpg

Raisi wa jamhuri ya watu wa Somaliland Mussa bihi. Hawa ndio wasomali wa leo.
 
Wasomali ni wakulima wazuri wa ubani,kiasi kikubwa cha ubani unaotumika katika kanisa la Roma unatoka Somaliland.
 
XxWvBy1.png

Mkulima wa Ubani akikagua mazao yake huko Somaliland.
 
Yasu_V.jpg

Lij Iyasu Mwanamfalme wa Ethiopia ambaye alibadili dini na kuwa muisilamu kwa siri kwa sababu ya ukaribu wake na Wasomali ndicho kilichomfanya asipewe taji.
 
220px-Téwodros_II_-_2.jpg

Mfalme wa Ethiopia Neggus Tewordos wa pili.
 
woolley-20150228-somaliland-gary.jpg

Mtaalamu akikagua mti wa Ubani huko Samaliland.
 
woolley-20150110-somaliland-map.jpg

Mashamba ya kale ya Ubani huko Somaliland mashamba haya mengine yanaumri wa miaka 4000.
 
somali-luban-frankincense--458-p.jpg

Kuna kipindi Ubani ulikuwa ni ghali kushinda Dhahabu.
 
Vipigo walivyotoa Wareno huko india vilikuwa si vya mchezo.
 
Ureno siyo masikini, ni nchi iliyoendelea ila uchumi wake umeporomoka kama ilivyo kwa Italy Ireland Greece
 
Baada ya Mfalme Atahualpa wa himaya ya inca kutupa bibilia na kukataa ukristo,alifanyiwa zengwe na Pizzaro na kusimamishwa kwenye Kangaroo court kisha akaambiwa atubu na kuhukumiwa kifo
atahualpa-was-baptized-and-executed.jpg
 
Back
Top Bottom