ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,083
- 40,334
- Thread starter
-
- #341
Ukisimama nchale ukichuchumaa nchaleUkiwa mtoto shida ni ada.
Ukikua shida ni kodi.
Ukizeeka shida ni afya.
Maisha hayakosi assignment.
Tofauti ni kwamba baadhi ya matatizo yanakupa muda wa kujiandaa…
Bao kama la mwamba wa lusakaMengine yanaingia moja kwa moja first eleven. 😂⚽🔥
Sawa mkuuUsiogope, jf hakuna mzee
Unataka nini sasa? Leo nimeyakanyaga.Sitakii 😅
NaumwaNgoja badae kidogo nilewe nikuzingue, ukose amani
Ni pmNaumwa
Nibebe nipelekeNi pm
😅Nibebe nipeleke
Hutaki kuingia kicwa kicwa 😁😁Mapenzi upofu nasubiri nipate miwani kwanza na nijue kutemebelea fimbo vyema
Nimesikitika sana tukio la wanachuo wawili waloungua moto alafu kisa na chanzo ni mapenziHutaki kuingia kicwa kicwa 😁😁
Jibu langu ni wazi tu!
Nisome commentsKwanini upo single?
Mapenzi yamekushinda?
Hujaona faida yake?
Au upo single kwa sababu maalum?
Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje?
Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi wako, mazingira yamekulazimisha, au bado hujakutana na mtu sahihi? 🤔💭
Sunday
ShesRise_1 🖐
Inasikitisha sanaNimesikitika sana tukio la wanachuo wawili waloungua moto alafu kisa na chanzo ni mapenzi
KaribuNisome comments
Aisee poleeNaona uliyoyaandika hapo yote n majibu sahihi kwangu mm
Haya sawa kijanaJibu langu ni wazi tu!
Niko single sababu nyeto is there for me 😎.
😅 sawaMazingira hayaruhusu