Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 71,947 Reaction score 177,163 Oct 6, 2016 #161 Biashara matangazo haya fursa fursa fursa hizooooooo
Agent007 Senior Member Joined Nov 15, 2015 Posts 106 Reaction score 80 Oct 6, 2016 #162 Niko single kwa kua bado sijampata msichana sahihi mwenye mapenzi ya dhati
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Oct 6, 2016 #163 Mlio single bila kupenda poleni sana... Hope mta find love soon,nawaombea iwe hivyo....
kwetumasoko JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 866 Reaction score 517 Oct 6, 2016 #164 Mlelajr said: Ukitaka iwe kubwa Dawa yake ndogo sana hiyo: Chukua pilipili 6, kitunguu saumu 1 na tangawizi 1 kubwa, changanya vyote uvitwange hadi vilainike lainiiiiiiii halafu jipake vizuri huo mchanganyiko kwenye hicho kibamia chako chote asubuhi na jioni. Naamini kitakua kama tango na utawapata tu. Click to expand... Ha ha ha ha!
Mlelajr said: Ukitaka iwe kubwa Dawa yake ndogo sana hiyo: Chukua pilipili 6, kitunguu saumu 1 na tangawizi 1 kubwa, changanya vyote uvitwange hadi vilainike lainiiiiiiii halafu jipake vizuri huo mchanganyiko kwenye hicho kibamia chako chote asubuhi na jioni. Naamini kitakua kama tango na utawapata tu. Click to expand... Ha ha ha ha!
kwetumasoko JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 866 Reaction score 517 Oct 6, 2016 #165 scorpio me said: Mlio single bila kupenda poleni sana... Hope mta find love soon,nawaombea iwe hivyo.... Click to expand... Tumeshapoa scorpio me
scorpio me said: Mlio single bila kupenda poleni sana... Hope mta find love soon,nawaombea iwe hivyo.... Click to expand... Tumeshapoa scorpio me
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 6, 2016 Thread starter #166 Jamani me Salome wangu ntampata lini..?
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 34,961 Reaction score 80,193 Oct 6, 2016 #167 Lyn Vivac said: Nipo na Daby Click to expand... Wew mtoto ebu usimwage mchele kwenye kuku wengi. Nimefukunyua comment yako kumbe imejificha hapa eeh..I'm also with you tho
Lyn Vivac said: Nipo na Daby Click to expand... Wew mtoto ebu usimwage mchele kwenye kuku wengi. Nimefukunyua comment yako kumbe imejificha hapa eeh..I'm also with you tho
binti wa kirombo JF-Expert Member Joined May 17, 2016 Posts 847 Reaction score 965 Oct 6, 2016 #168 eden kimario said: Unaweza kua ni ndugu yangu wewe Click to expand... ndio mim ni ndugu yako
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 34,961 Reaction score 80,193 Oct 6, 2016 #169 Mlelajr said: Nani kakupa kibali uingie humu? Mpige kibuti huyo daby wako ndo uje humu, Only for single Click to expand... Hunitakii mazuri wewe....
Mlelajr said: Nani kakupa kibali uingie humu? Mpige kibuti huyo daby wako ndo uje humu, Only for single Click to expand... Hunitakii mazuri wewe....
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,931 Reaction score 25,245 Oct 6, 2016 #170 Dah! mimi niko singo kwa sababu ambazo sizijui ..yani sijui ni kwanini niko singo.
N Ntandaba JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 922 Reaction score 1,485 Oct 6, 2016 #171 Nipo single kwa sababu nilimtongoza kidogo lakini jamaa alimtongoza mpaka alitumia mifuko yake ya suruali na ATM ndipo nikatoswa
Nipo single kwa sababu nilimtongoza kidogo lakini jamaa alimtongoza mpaka alitumia mifuko yake ya suruali na ATM ndipo nikatoswa
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,728 Oct 6, 2016 #172 palsa said: Kwa sababu wanavyopata walio double na mie na vipata ..nothing new..haha Click to expand... Dyudyu unapata wapi?
palsa said: Kwa sababu wanavyopata walio double na mie na vipata ..nothing new..haha Click to expand... Dyudyu unapata wapi?
Mlelajr Member Joined Jan 6, 2015 Posts 95 Reaction score 80 Oct 6, 2016 Thread starter #173 Daby said: Hunitakii mazuri wewe.... Click to expand... Hahaaaaa
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 34,961 Reaction score 80,193 Oct 6, 2016 #174 Mlelajr said: Hahaaaaa Click to expand... Mkuu mleta uzi bado hujachangamkia fursa tu??
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,330 Reaction score 176,111 Oct 6, 2016 #175 Duuuuh!!
bigmind JF-Expert Member Joined Oct 28, 2015 Posts 12,457 Reaction score 12,705 Oct 6, 2016 #176 Miss Natafuta said: kwa sababu sijapata anaenipenda jinsi nilivo Click to expand... Kwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindi
Miss Natafuta said: kwa sababu sijapata anaenipenda jinsi nilivo Click to expand... Kwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindi
Dam55 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 5,661 Reaction score 12,014 Oct 6, 2016 #177 fulsa ndo hii sasa yakuchagua unae umpendae hapa kwasababu umeshajua watafutao wenzako.
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,027 Reaction score 52,499 Oct 6, 2016 #178 bigmind said: Kwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindi Click to expand... katika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kulee
bigmind said: Kwani ukoje?? Au ndiyo vinasaba vya wahindi Click to expand... katika ukoo wako wote hakuna alie hata robo yangu kwa uzuri pita kulee
K KEZIA Member Joined Oct 5, 2016 Posts 5 Reaction score 1 Oct 6, 2016 #179 Kapyungu A said: Nipo single kwasababu ya pesa ya kuhinga yani nikipigwa mzinga nakuwa kama mgonjwa wa kifadulo Click to expand...
Kapyungu A said: Nipo single kwasababu ya pesa ya kuhinga yani nikipigwa mzinga nakuwa kama mgonjwa wa kifadulo Click to expand...
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,027 Reaction score 52,499 Oct 6, 2016 #180 Dam55 said: fulsa ndo hii sasa yakuchagua unae umpendae hapa kwasababu umeshajua watafutao wenzako. Click to expand... mwenyewe hapa nacheki mwenye sababu nzuri ila wote wazushi tu
Dam55 said: fulsa ndo hii sasa yakuchagua unae umpendae hapa kwasababu umeshajua watafutao wenzako. Click to expand... mwenyewe hapa nacheki mwenye sababu nzuri ila wote wazushi tu