Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

mi wanawake wanigombania xana nimeona bora niwe single nipate uhuru wa kuwatumia vizur
 
Usingle inategemeana kuna dadaangu alikua na marafiki. Zake walioolewa km wawili ndoa zao zilikuwa shida, mara mume atembee na huyu mara binti wa kazi, mara jirani, mke. Akiongea lolote kuhusu michepuko ni kipigo mpaka hawa mmoja kaaachika mngine alifariki inasadikika kwa. Kupigwa na mumewe. Huyo mmoja mmew e alikuwa anatembea na binti jirani mara mke kamfumania watu kibao, binti kamshushia matusi mke, mumeo alinambia k yako imeharika ni mbaya. Haina shape ndo maana ananipenda mimi, mke kusikia kazimia, mpaka leo dadaangu ana 43 hataki kabisa wanaume na virgn kabisa
Probably ni lesbian
 
Hii ni kwa wale walio single kama mimi, nadhani kila aliye single ana sababu zake za msingi zinazompelekea awe single. Kuna wanaopenda kuwa hivyo na wasiopenda.

Kwa kila aliye single aeleze sababu zinazompelekea yeye kuwa hivyo na yawezekana ukapata suluhisho hapa.

Tukianza na mimi
Nipo single sababu sijampata msichana sahihi anayenifaa

Nipo single kwa sababu nimeumizwa na niliyefikiria ndiye wa ubavu wangu kumbe alikuwa mpita njia niliyemfananinisha na SCORPION WA BUGURUNI tena nilimuita MUUAJI maana aliniacha kipindi ambacho sikukitarajia hata kidogo..namshukuru Mungu amenipa nguvu ya kuweza kumsamehe nimemsamehe aendelee na maisha yake..hakika naamin ipo siku yangu nitapata wa kufanana nae
 
Usingle inategemeana kuna dadaangu alikua na marafiki. Zake walioolewa km wawili ndoa zao zilikuwa shida, mara mume atembee na huyu mara binti wa kazi, mara jirani, mke. Akiongea lolote kuhusu michepuko ni kipigo mpaka hawa mmoja kaaachika mngine alifariki inasadikika kwa. Kupigwa na mumewe. Huyo mmoja mmew e alikuwa anatembea na binti jirani mara mke kamfumania watu kibao, binti kamshushia matusi mke, mumeo alinambia k yako imeharika ni mbaya. Haina shape ndo maana ananipenda mimi, mke kusikia kazimia, mpaka leo dadaangu ana 43 hataki kabisa wanaume na virgn kabisa
Mzinifu tu huyo hana lolote ingekua tunapima hivyo ndoa zi singekwepo kabisa
 
Nipo single kwa sababu nimeumizwa na niliyefikiria ndiye wa ubavu wangu kumbe alikuwa mpita njia niliyemfananinisha na SCORPION WA BUGURUNI tena nilimuita MUUAJI maana aliniacha kipindi ambacho sikukitarajia hata kidogo..namshukuru Mungu amenipa nguvu ya kuweza kumsamehe nimemsamehe aendelee na maisha yake..hakika naamin ipo siku yangu nitapata wa kufanana nae
Pole sana binti wa kirombo, Scorpion wako kashakamatwa yupo ananyea debe so usijali jipange upya jiandae utampata wa kwako mpyaaa tena wa peke ako na atakusahaulisha yale yote maudhi na mabaya ya Scorpion
 
Back
Top Bottom