mpiga era
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,078
- 2,269
Kama wepi mkuuMkuu tongoza level zako utawapata tu
Kama wepi mkuuMkuu tongoza level zako utawapata tu
Wa kuendana hutampata hilo sahau wee indelea kuwapa papuchi ukitegemea ndo sahihi huku wao kutelekezaNipo single kwa sababu sijampata anayeendana na mimi, ambaye hapendi utumwa wa kutegemea mshahara tu, na anayenipenda kwa dhati
Probably ni lesbianUsingle inategemeana kuna dadaangu alikua na marafiki. Zake walioolewa km wawili ndoa zao zilikuwa shida, mara mume atembee na huyu mara binti wa kazi, mara jirani, mke. Akiongea lolote kuhusu michepuko ni kipigo mpaka hawa mmoja kaaachika mngine alifariki inasadikika kwa. Kupigwa na mumewe. Huyo mmoja mmew e alikuwa anatembea na binti jirani mara mke kamfumania watu kibao, binti kamshushia matusi mke, mumeo alinambia k yako imeharika ni mbaya. Haina shape ndo maana ananipenda mimi, mke kusikia kazimia, mpaka leo dadaangu ana 43 hataki kabisa wanaume na virgn kabisa
Hii ni kwa wale walio single kama mimi, nadhani kila aliye single ana sababu zake za msingi zinazompelekea awe single. Kuna wanaopenda kuwa hivyo na wasiopenda.
Kwa kila aliye single aeleze sababu zinazompelekea yeye kuwa hivyo na yawezekana ukapata suluhisho hapa.
Tukianza na mimi
Nipo single sababu sijampata msichana sahihi anayenifaa
Usizuge bhanaa ukibanwa mbavu usiku wakukunyoosha nani? Walio double haina shida apoKwa sababu wanavyopata walio double na mie na vipata ..nothing new..haha
Unakuwa mgonjwa gaflaHahaaaaa kapyungu umenikosha kweli kweli, yaani mnaanza vizuriiiii na siku zinasonga ila siku akiingizia tu beb naomba 50,000 ya saloon unatoka ndukiiiii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahahaNipo single sababu nimesajiliwa CHAPUTA..
Masharti ya mkataba ayaniruhusu kuwa na mtu cc Moto WA Maji
Nipo single maana wenye upungufu wa nguvu za kiume hawajiweki wazi nikawafata

MhNipo single kwa sababu sijampata anayeendana na mimi, ambaye hapendi utumwa wa kutegemea mshahara tu, na anayenipenda kwa dhati
Mzinifu tu huyo hana lolote ingekua tunapima hivyo ndoa zi singekwepo kabisaUsingle inategemeana kuna dadaangu alikua na marafiki. Zake walioolewa km wawili ndoa zao zilikuwa shida, mara mume atembee na huyu mara binti wa kazi, mara jirani, mke. Akiongea lolote kuhusu michepuko ni kipigo mpaka hawa mmoja kaaachika mngine alifariki inasadikika kwa. Kupigwa na mumewe. Huyo mmoja mmew e alikuwa anatembea na binti jirani mara mke kamfumania watu kibao, binti kamshushia matusi mke, mumeo alinambia k yako imeharika ni mbaya. Haina shape ndo maana ananipenda mimi, mke kusikia kazimia, mpaka leo dadaangu ana 43 hataki kabisa wanaume na virgn kabisa
Pole sana binti wa kirombo, Scorpion wako kashakamatwa yupo ananyea debe so usijali jipange upya jiandae utampata wa kwako mpyaaa tena wa peke ako na atakusahaulisha yale yote maudhi na mabaya ya ScorpionNipo single kwa sababu nimeumizwa na niliyefikiria ndiye wa ubavu wangu kumbe alikuwa mpita njia niliyemfananinisha na SCORPION WA BUGURUNI tena nilimuita MUUAJI maana aliniacha kipindi ambacho sikukitarajia hata kidogo..namshukuru Mungu amenipa nguvu ya kuweza kumsamehe nimemsamehe aendelee na maisha yake..hakika naamin ipo siku yangu nitapata wa kufanana nae
Nipo single sababu nimesajiliwa CHAPUTA..
Masharti ya mkataba ayaniruhusu kuwa na mtu cc Moto WA Maji
