Kwanini unaogopa kuangalia maiti?

Kwanini unaogopa kuangalia maiti?

Asprin hahaha nimecheka mpaka naonekana mwehu wallah! Kuna ile post yako nyingine kule ya kuogopa maiti leo mbavu zitaniuma

Kiongozi usifanye mchezo na maiti. Tukiwa shule mwanafunzi mwenzetu alipata ajali ikasemekana amekufa. Ibilisi akamwingia headmaster akaniteua niende kuitambua maiti....

Ile natoka ofisini mwake tu.... hatua chache kabla sijapanda gari... niliteguka mguu nikaanguka chini.... Nikajiapiza kitakachoweza kuninyanyua pale chini ni greda la manispaa ya Kinondoni.

Walipoenda wengine hospitali ghafla mguu ukapona. Ashukuriwe Mungu aliye juu.
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi usifanye mchezo na maiti. Tukiwa shule mwanafunzi mwenzetu alipata ajali ikasemekana amekufa. Ibilisi akamwingia headmaster akaniteua niende kuitambua maiti....

Ile natoka ofisini mwake tu.... hatua chache kabla sijapanda gari... niliteguka mguu nikaanguka chini.... Nikajiapiza kitakachoweza kuninyanyua pale chini ni greda la manispaa ya Kinondoni.

Walipoenda wengine hospitali ghafla mguu ukapona. Ashukuriwe Mungu aliye juu.

Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa imetosha sasa naonekana mwendawazimu sasa hapa nilipo
 
bila kuaga nahisi kama sijatenda haki kwa kweli
 
Aisee mecheka mpaka chozi limetoka. Khaa...

Bro alifiwa na swahiba wake geto. akanipigia simu niende nikampe kampani. Ikawa ni biashara ya kulala na maiti mpk asubuhi.... Niliomba udhuru kidogo nikatafute kampani na ujasiri wa Konyagi. Nikazimeza kama maji. Kurudi geto pombe ikakata, braza ndo kwanza anakoroma, maiti iko kitandani. Nikaenda kuongeza tena nyagi.... kurudi geto ikakata.... dah

Msala ilipofika saa 10 alfajiri, mitambo ikabuma TBL huko na braza ndo mtaalam. Gari ikaja kumchukua akaokoe jahazi. Akanisihi nibaki pale na maiti aende job fasta.... eti maiti hairuhusiwi kulala peke yake. Siku hiyo iliruhusiwa!!!

Yeye kaenda TBL mimi nikaenda bar maiti ikabaki room.

Kulipokucha ndipo nikajua nilikuwa nimelewa mbaya. hata sijui walizika saa ngapi.

Sina urafiki na maiti. Maiti zinisamehe tu.

nimecheka hapa. maiti sio mchezo ila me bila kuaga nahisi kama sijatenda haki
 
Hata mtoto mdogo unakuwa na uwonga wa ajabu!
 
Mimi ilikuwa nikitoka kuzichoma moto maiti naingia kwenye nyama choma kama kawa sijui nilikuwa na ujasiri gani ? ? ? yani kwangu mimi maiti hata iwe kama chapati nilikuwa sioni tofauti yoyote na mzoga mwingine wowote !naishughulikia fasta ili niwahi madikodiko
 
Mimi sijawahi ogopa kuiangilia maiti. Wala kuigusa au kuishika. Kawaida sana mbona.
 
Mimi ilikuwa nikitoka kuzichoma moto maiti naingia kwenye nyama choma kama kawa sijui nilikuwa na ujasiri gani ? ? ? yani kwangu mimi maiti hata iwe kama chapati nilikuwa sioni tofauti yoyote na mzoga mwingine wowote !naishughulikia fasta ili niwahi madikodiko

You need Jesus....
 
Baada ya kusoma huu uzi hali imebadirika ni km nipo msibani. Kimepatwa na huzuni haina kifani. Bia yangu nakunywa lkn sioni inakoelekea.
CHEZEA HBR ZA MAITI WEYE!?
 
Aisee mecheka mpaka chozi limetoka. Khaa...

Bro alifiwa na swahiba wake geto. akanipigia simu niende nikampe kampani. Ikawa ni biashara ya kulala na maiti mpk asubuhi.... Niliomba udhuru kidogo nikatafute kampani na ujasiri wa Konyagi. Nikazimeza kama maji. Kurudi geto pombe ikakata, braza ndo kwanza anakoroma, maiti iko kitandani. Nikaenda kuongeza tena nyagi.... kurudi geto ikakata.... dah

Msala ilipofika saa 10 alfajiri, mitambo ikabuma TBL huko na braza ndo mtaalam. Gari ikaja kumchukua akaokoe jahazi. Akanisihi nibaki pale na maiti aende job fasta.... eti maiti hairuhusiwi kulala peke yake. Siku hiyo iliruhusiwa!!!

Yeye kaenda TBL mimi nikaenda bar maiti ikabaki room.

Kulipokucha ndipo nikajua nilikuwa nimelewa mbaya. hata sijui walizika saa ngapi.

Sina urafiki na maiti. Maiti zinisamehe tu.

Daaa.....umenipunguzia stress umeniongezea siku za kuishi
 
Aisee mecheka mpaka chozi limetoka. Khaa...

Bro alifiwa na swahiba wake geto. akanipigia simu niende nikampe kampani. Ikawa ni biashara ya kulala na maiti mpk asubuhi.... Niliomba udhuru kidogo nikatafute kampani na ujasiri wa Konyagi. Nikazimeza kama maji. Kurudi geto pombe ikakata, braza ndo kwanza anakoroma, maiti iko kitandani. Nikaenda kuongeza tena nyagi.... kurudi geto ikakata.... dah

Msala ilipofika saa 10 alfajiri, mitambo ikabuma TBL huko na braza ndo mtaalam. Gari ikaja kumchukua akaokoe jahazi. Akanisihi nibaki pale na maiti aende job fasta.... eti maiti hairuhusiwi kulala peke yake. Siku hiyo iliruhusiwa!!!

Yeye kaenda TBL mimi nikaenda bar maiti ikabaki room.

Kulipokucha ndipo nikajua nilikuwa nimelewa mbaya. hata sijui walizika saa ngapi.

Sina urafiki na maiti. Maiti zinisamehe tu.

Hahahahahah
 
Baada ya kusoma huu uzi hali imebadirika ni km nipo msibani. Kimepatwa na huzuni haina kifani. Bia yangu nakunywa lkn sioni inakoelekea.
CHEZEA HBR ZA MAITI WEYE!?

Jamani kwani shida nini? Mpaka muogope wafu kiasi hicho? Natamani siku moja niondoke na mmoja wenu hadi makaburini usiku halafu nikamtelekeze huko
 
Aisee mecheka mpaka chozi limetoka. Khaa...

Bro alifiwa na swahiba wake geto. akanipigia simu niende nikampe kampani. Ikawa ni biashara ya kulala na maiti mpk asubuhi.... Niliomba udhuru kidogo nikatafute kampani na ujasiri wa Konyagi. Nikazimeza kama maji. Kurudi geto pombe ikakata, braza ndo kwanza anakoroma, maiti iko kitandani. Nikaenda kuongeza tena nyagi.... kurudi geto ikakata.... dah

Msala ilipofika saa 10 alfajiri, mitambo ikabuma TBL huko na braza ndo mtaalam. Gari ikaja kumchukua akaokoe jahazi. Akanisihi nibaki pale na maiti aende job fasta.... eti maiti hairuhusiwi kulala peke yake. Siku hiyo iliruhusiwa!!!

Yeye kaenda TBL mimi nikaenda bar maiti ikabaki room.

Kulipokucha ndipo nikajua nilikuwa nimelewa mbaya. hata sijui walizika saa ngapi.

Sina urafiki na maiti. Maiti zinisamehe tu.

Naomba niwashirikishe mabest wangu kwenye hili tukio la kihistoria

CC atoto, Honey Faith, masai dada, gfsonwin, cacico, Hornet, Kaizer, Mbu, snowhite
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi usifanye mchezo na maiti. Tukiwa shule mwanafunzi mwenzetu alipata ajali ikasemekana amekufa. Ibilisi akamwingia headmaster akaniteua niende kuitambua maiti....

Ile natoka ofisini mwake tu.... hatua chache kabla sijapanda gari... niliteguka mguu nikaanguka chini.... Nikajiapiza kitakachoweza kuninyanyua pale chini ni greda la manispaa ya Kinondoni.

Walipoenda wengine hospitali ghafla mguu ukapona. Ashukuriwe Mungu aliye juu.

Sikutegemea kucheka kwenye mada hii lakini nimeishia kucheka kwelikweli
 
Naomba niwashirikishe mabest wangu kwenye hili tukio la kihistoria

CC atoto, Honey Faith, masai dada, gfsonwin, cacico, Hornet, Kaizer, Mbu, snowhite

......hahahhhha, swahiba pole sana kwa yaliyokukuta!
Woga huo unasababishwa na simulizi unazozisikia kuhusiana na maiti kisha nawe ndio unaona hadithi za kweli.
All in all, mazingira ya kifo pia yanachangia kuiogopa maiti au kuiona ya kawaida tu....

mfano, mtu aliyekufa kwa uzee au 'ghafla' bila sababu mtihani kidogo kulikoni na maiti ya kibaka au jambazi sugu lililobondwa. Yaani,.....story za kutishana waweza dhani ukizubaa atakudaka mkono au shingo iwe dhahma mpya....

Wewe chukulia wale wanaolia wakati wa Last Respect, kisha 'maiti' anyanyuke kisha atoke mle sandukuni kama atabakia mtu hapo uwanjani!
 
......hahahhhha, swahiba pole sana kwa yaliyokukuta!
Woga huo unasababishwa na simulizi unazozisikia kuhusiana na maiti kisha nawe ndio unaona hadithi za kweli.
All in all, mazingira ya kifo pia yanachangia kuiogopa maiti au kuiona ya kawaida tu....

mfano, mtu aliyekufa kwa uzee au 'ghafla' bila sababu mtihani kidogo kulikoni na maiti ya kibaka au jambazi sugu lililobondwa. Yaani,.....story za kutishana waweza dhani ukizubaa atakudaka mkono au shingo iwe dhahma mpya....
kisawasawa

Kiongozi.... whatever... kwangu mimi maiti ni maiti. Ushirikiano acha tuurudishie huko akhera. Hapa duniani weka mbali mimi na maiti. Baaas
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom