Kama ukijiaminisha kifo kipo na kila mtu atakufa hutaogopa. Maiti.inakuwa imefumba macho kama mtu aliyelala. Sasa unaogopa nini? Je.ukikutana na wale ambao bahati mbaya hawakufumbwa macho wakati wanakata roho? Tukikubali maiti.ni remains za so and so wala hatutaogopa. Sana sana tutasikitika kuwa mpendwa wetu hatunaye tena.