Kwanini unaogopa kuangalia maiti?

Kwanini unaogopa kuangalia maiti?

Daaah sitaki ata kusikia habari za maiti... hapa nyumbani kwetu alifariki anti yetu,ule mwili wa marehem anti ukawekwa chumbani kwangu kitandani daaah nilitumwa na mama niende nikafunge chumba sasa wakati wa kufunga mlango nikasema ngoja nikafungue jeneza nione daaah nilijikuta niko chini ya mti nimemwagiwa maji napepewa..na tangu siku hyo nilikuwa naweweseka sana bt nilivyokuja kuombewa ile hali ikatulia. mpka leo sina hamu ya kuaga maiti wala kuiona naogopa sana
Udukuzi ndio ulikuponza. Wewe umetumwa ukafunge mlango unaenda kufungua jeneza. Si ajabu marehemu alifungua macho kukuangalia ukapoteza fahamu.
 
Daaah sitaki ata kusikia habari za maiti... hapa nyumbani kwetu alifariki anti yetu,ule mwili wa marehem anti ukawekwa chumbani kwangu kitandani daaah nilitumwa na mama niende nikafunge chumba sasa wakati wa kufunga mlango nikasema ngoja nikafungue jeneza nione daaah nilijikuta niko chini ya mti nimemwagiwa maji napepewa..na tangu siku hyo nilikuwa naweweseka sana bt nilivyokuja kuombewa ile hali ikatulia. mpka leo sina hamu ya kuaga maiti wala kuiona naogopa sana

Mkuu ni ngumu kuamini ulisemalo. Hawezi kutumwa mtoto (maana naamini ulikua mtoto kama kwa sasa ni mtu mzima) kwenda kufunga mlango wa chumba ambako kumewekwa jeneza lenye mwili wa marehemu, hata kama ungetumwa usingeweza kwenda. Pia hicho chumba kulikowekwa jeneza lenye mwili wa marehemu huwa hakuachwi peke bila watu (labda kama huyo mtu amekufa kwa Ebola!!!). Nimeshindwa kumeza hata kwa kujilazimisha. Eti chumbani kwako "kitandani" ukafungua, uliona nini!!! maana maiti inakua imefungwa ndani ya nguo.
 
mait inatisha coc. hisia znaenda mbali haswa kujua kua huu ndo mwisho.ila ulikosea kufanya uccho agizwa.pole
 
Ukiona unaogopa ujue maiti hakuhusu. Akiwa ndugu yako wa karibu, mzazi, mwana, kaka, dada, mke, mume yani utajikuta unamkumbatia hutaki kumwachia.
 
Kwakweli mie pia ni mwoga ila kwa ndugu zangu najikaza.. alhamdulilah waislam hatuagi maiti unless akuhusu mama baba mtoto ..ndugu wa karib...
Pia huwa najiepusha sana na kuaga Au kuangalia maiti ambazo hazinihusu...
 
huo ni uoga 2 na hakuna baya lolote mpaka xa hvi nimeaga maiti si chini ya mia, mochwar nimeingia na kushiri kutoa maiti kwenye jokofu..lakini nimeshuhudia watu wawili wakifariki mbele yangu, cjawah kuckia tofauti ya aina yeyote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom