Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,752
- 830,878
Kiongozi.... whatever... kwangu mimi maiti ni maiti. Ushirikiano acha tuurudishie huko akhera. Hapa duniani weka mbali mimi na maiti. Baaas
Siku moja usiku tukiwa chuoni tulitoroka tu kaenda kununua kuku wale wa kubanikwa kwenye mashine tukarudi chuoni ili tujipendelee! Ile kuingia ndani tu ikapigwa kengele ya dharura kufika parade tukaambiwa kuna maiti tano za ajali ya moto inabidi tukaziweke sawa, amini usiamini nilienda na kuku wangu na baada ya kumaliza ile dharura nikaendelea kujinafasi