Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Nyie mnaoenda bar kusikiliza mziki na kutafuta wanawake ndio hua mnatuharibia vibe wateja halali.

Wahudumu badala ya kutuhudumia wakata maji ninyi mnawasumbua na kuwashika makalio.

Enewei mimi naenda bar kula bia, ikiwa tulivu ndio safi zaidi, siku nyingine hata mziki usiwepo kabisa iwe kimyaaaa ni bia tu.
Maeneo mengi naona wahudumu wamejazia kweli, tutajenga kweli?
 
Back
Top Bottom