Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

Mimi huwa naenda kwa ajili ya kusikiliza mziki wenye 'vibe' pamoja na kuosha macho kwa kuona warembo walivyopendeza. Hii inaniondolea msongo wa mawazo wa kimaisha na kuendelea kutamani kuishi zaidi na zaidi.

Pia nakuwa sina muda wa kutembelea watu mbali mbali majumbani mwao, kwa sababu binadamu wa sasa wengi ni wanafiki, na kujikuta nikitembelea maeneo yaliyo changamka bila kumkwaza mtu pamoja na kutokuathiri mipangilio yangu n.k

Je wewe, kwa nini unaenda bar na maeneo ya starehe?​
Mada mzuri kwa waendao maeneo hayo mimi sijawahi kwenda nikae pembeni tu
 
Back
Top Bottom