Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.

Ulimwengu Ulitakiwa Uwe Na Shida Na Dhambi Na Ndo Maana Ukaumbwa hivo,Ukiwa Hauna Hivo vitu Huo sio Ulimwengu
Yote Hayo Ni Kipimo Nani Ni Mbora Mbele Ya Mwenyezimungu,Hata Mwalimu shuleni Hutoa Mitihani Ili Kuona Ni Nan Mbora kati ya wanafunzi.
Kwani Hapendi Kuona Mnafaulu Awapitishe wote?

Uwepo wa Mungu Ni Kipimo cha wenye Akili ila waliokengeuka na dunia Hawawezi Ona Hilo.
Kila kitu Kina mwanzo Wake,Je Ni Upi Mwanzo wa Wanadamu,Dunia na Tusivovijua Kwa Undani?
 
Ulimwengu Ulitakiwa Uwe Na Shida Na Dhambi Na Ndo Maana Ukaumbwa hivo,Ukiwa Hauna Hivo vitu Huo sio Ulimwengu
Yote Hayo Ni Kipimo Nani Ni Mbora Mbele Ya Mwenyezimungu,Hata Mwalimu shuleni Hutoa Mitihani Ili Kuona Ni Nan Mbora kati ya wanafunzi.
Kwani Hapendi Kuona Mnafaulu Awapitishe wote?

Uwepo wa Mungu Ni Kipimo cha wenye Akili ila waliokengeuka na dunia Hawawezi Ona Hilo.
Kila kitu Kina mwanzo Wake,Je Ni Upi Mwanzo wa Wanadamu,Dunia na Tusivovijua Kwa Undani?
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu usio na shida na dhambi?

Umeusoma na kuelewa huo mchoro wa Epicurean Paradox?

Umesoma hiyo part ya "The Problem of Evil" kutoka hicho kitabu cha "Philosophy of Religion:An Anthology" nilichokiweka hapa?
 
Back
Top Bottom