Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Bichwa Komwee hivi unalea watoto kweli?
Amadi, I reserve my comment.

TAARIFA KWA UMMA:

Kuanzia leo nitakuwa naitwa BICHWA MOKWEE a.k.a BICHWA BAPA badala ya BICHWA KOMWEE kama ilivyozoeleka hapo awali.

Napenda kuutangazia umma kwamba nimestaafu rasmi cheo cha UKOMWE, hivyo basi nitabaki kuwa mshauri tu ndani ya IDARA ya MABICHWA KOMWE.

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Itakua ni wengi wamewahi kuniona, na hata kunijadili kwa picha zangu,

Ila hawajui ndo mie, kuna app nilikuta picha yangu inajadiliwa, nkaunga na mie kuijadiliii.
Hahahahahahaha walikuwa wakiijadili kisa ina kishundu au?
 
Amadi, I reserve my comment.

TAARIFA KWA UMMA:

Kuanzia leo nitakuwa naitwa BICHWA MOKWEE a.k.a BICHWA BAPA badala ya BICHWA KOMWEE kama ilivyozoeleka hapo awali.

Napenda kuutangazia umma kwamba nimestaafu rasmi cheo cha UKOMWE, hivyo basi nitabaki kuwa mshauri tu ndani ya IDARA ya MABICHWA KOMWE.

Asanteni kwa kunisikiliza.
wewe ni lecturer, na kama siyo kazi yako inahusiana mno na u lecturer! Trust me.!
 
Back
Top Bottom