Kwanini ukiwatajia "West Countries" wanawaza ushoga?

Kwanini ukiwatajia "West Countries" wanawaza ushoga?

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,706
Reaction score
10,229
Tusipoteze wakati,

Ukiwaambiwa watu raisi anakutana na USA, watu watalalamila USA wanaleta ushoga, Ukiwaambia tumesaini mkataba na umoja wa Ulaya watasema masuala ya ushoga, ukiwaambia naenda USA watasema unaenda kwa mashoga.

Hali imekuwa mbaya kiasi watu hawapendi tushirikiane na west countries kwa kigezo cha mashoga licha ya kuwa kiukweli ili tutoboe kiuchumi kwa dunia hii hawa jamaa hawakwepekihata ufanye vipi lazima wahusike.

Issue ni kuwa je, USA wanaeneza ushoga ? Au ni sisi wenyewe tunavyolawiti watoto makanisani na misikitini na kisha kuchekeana bila kuchukulia hatua? Au tunavyolawitiana majumbani mwetu bila kuchukuliana hatua ?

Mtoto analawitiwa toka ana miaka 7 akiwa either kanisani, msikitini au hata majumbani mwetu na mashuleni, then mtoto huyu akifika miaka ,25 akawa kama afande wa zenji watu watasema ni West Countries.

Binafsi naona tunajitahidi tu kuhamisha lawama lakini issue ya ushoga ni sisi wenyewe kama jamii tunaizalisha na kuipalilia na kisha tunalaumu wengine pale inapotoa matunda yake, tujitahidi kufix issue ya malezi, tuwe wakali kwenye kesi za kulawitiwa haijalishi imetokea kanisani, msikitini au hata nyumbani.

Pia tuwafunde vijana wetu vyema katika familia badala ya kukaa na kumtafuta wa kumpa lawama daily
 
Upo sahihi, kwa mfano hii mibwabwa iliyoko mtaani imeletwa na watu wa magharibi? nauliza hii iliyopo mitaani magomeni, sinza kinondoni imeletwa na nani?

Hatuna sheria ya kuzibiti huu uchafu wenyewe hadi tuwalaumu watu wa magharibi? kama tunayo tunashindwa wapi?

Kama sheria ni butu kwa nini tusiinoe tena ili kuthibiti huu uchafu uliolaanika tangu enzi za Sodoma na Gomola? Wabunge wa CCM kweli mna nia ya kumaliza Ushoga? kama mna nia ya dhati sasa mnafeli wapi ? maana na nyie mmegeuka kuaza kulalamika kama sisi, hebu tupeni sheria kali afu sisi wananchi tushughulike na hii mibwabwa mitaani kwetu, maana sasa hivi ukilikamata huwezi kulishitaki labda utumie sheria na uzururaji, na hii midude imefundishwa sheria na ndiyo maana inakwambia sisi hatuachi hii kazi na wazazi wetu washatushindwa itakuwa wewe. Sasa hii si ni balaa ndugu zangu.

 
Tusipoteze wakati,

Ukiwaambiwa watu raisi anakutana na USA, watu watalalamila USA wanaleta ushoga, Ukiwaambia tumesaini mkataba na umoja wa Ulaya watasema masuala ya ushoga, ukiwaambia naenda USA watasema unaenda kwa mashoga.

Hali imekuwa mbaya kiasi watu hawapendi tushirikiane na west countries kwa kigezo cha mashoga licha ya kuwa kiukweli ili tutoboe kiuchumi kwa dunia hii hawa jamaa hawakwepekihata ufanye vipi lazima wahusike.

Issue ni kuwa je, USA wanaeneza ushoga ? Au ni sisi wenyewe tunavyolawiti watoto makanisani na misikitini na kisha kuchekeana bila kuchukulia hatua? Au tunavyolawitiana majumbani mwetu bila kuchukuliana hatua ?

Mtoto analawitiwa toka ana miaka 7 akiwa either kanisani, msikitini au hata majumbani mwetu na mashuleni, then mtoto huyu akifika miaka ,25 akawa kama afande wa zenji watu watasema ni West Countries.

Binafsi naona tunajitahidi tu kuhamisha lawama lakini issue ya ushoga ni sisi wenyewe kama jamii tunaizalisha na kuipalilia na kisha tunalaumu wengine pale inapotoa matunda yake, tujitahidi kufix issue ya malezi, tuwe wakali kwenye kesi za kulawitiwa haijalishi imetokea kanisani, msikitini au hata nyumbani.

Pia tuwafunde vijana wetu vyema katika familia badala ya kukaa na kumtafuta wa kumpa lawama daily
Taasisi nyngi zinazofadhili ushoga na usagaji zinatoka usa na ulaya na ukianza kuzuia ulaya na marekani wanaanza kunyoosha vidole
 
Hao jamaa wameamua kuacha unafiki na kuishi maisha ya kitumwa chini ya mwamvuli wa dini,

Kila mtu awe free kutumia mwili wake atakavyo kwa hiyari yake.
 
Upo sahihi, kwa mfano hii mibwabwa iliyoko mtaani imeletwa na watu wa magharibi? nauliza hii iliyopo mitaani magomeni, sinza kinondoni imeletwa na nani?

Hatuna sheria ya kuzibiti huu uchafu wenyewe hadi tuwalaumu watu wa magharibi? kama tunayo tunashindwa wapi?

Kama sheria ni butu kwa nini tusiinoe tena ili kuthibiti huu uchafu uliolaanika tangu enzi za Sodoma na Gomola? Wabunge wa CCM kweli mna nia ya kumaliza Ushoga? kama mna nia ya dhati sasa mnafeli wapi ? maana na nyie mmegeuka kuaza kulalamika kama sisi, hebu tupeni sheria kali afu sisi wananchi tushughulike na hii mibwabwa mitaani kwetu, maana sasa hivi ukilikamata huwezi kulishitaki labda utumie sheria na uzururaji, na hii midude imefundishwa sheria na ndiyo maana inakwambia sisi hatuachi hii kazi na wazazi wetu washatushindwa itakuwa wewe. Sasa hii si ni balaa ndugu zangu.


  • Ukijua kuwa ushoga unaenezwa na pia mashoga wanalipwa, kuhudumiwa na US kupitia NGO's;
  • Ukijua kuwa mashirika yanayoeneza ushoga hayapaswi kubugudhiwa na nchi wanufaika wa misaada ya 'West';
  • Ukitambua Yesu aliambiwa na shetani, "nitakupa mali zote hizo ikiwa kama utanisujudia"
 
Tusipoteze wakati,

Ukiwaambiwa watu raisi anakutana na USA, watu watalalamila USA wanaleta ushoga, Ukiwaambia tumesaini mkataba na umoja wa Ulaya watasema masuala ya ushoga, ukiwaambia naenda USA watasema unaenda kwa mashoga.

Hali imekuwa mbaya kiasi watu hawapendi tushirikiane na west countries kwa kigezo cha mashoga licha ya kuwa kiukweli ili tutoboe kiuchumi kwa dunia hii hawa jamaa hawakwepekihata ufanye vipi lazima wahusike.

Issue ni kuwa je, USA wanaeneza ushoga ? Au ni sisi wenyewe tunavyolawiti watoto makanisani na misikitini na kisha kuchekeana bila kuchukulia hatua? Au tunavyolawitiana majumbani mwetu bila kuchukuliana hatua ?

Mtoto analawitiwa toka ana miaka 7 akiwa either kanisani, msikitini au hata majumbani mwetu na mashuleni, then mtoto huyu akifika miaka ,25 akawa kama afande wa zenji watu watasema ni West Countries.

Binafsi naona tunajitahidi tu kuhamisha lawama lakini issue ya ushoga ni sisi wenyewe kama jamii tunaizalisha na kuipalilia na kisha tunalaumu wengine pale inapotoa matunda yake, tujitahidi kufix issue ya malezi, tuwe wakali kwenye kesi za kulawitiwa haijalishi imetokea kanisani, msikitini au hata nyumbani.

Pia tuwafunde vijana wetu vyema katika familia badala ya kukaa na kumtafuta wa kumpa lawama daily
Kwa hiyo?
 
Tusisahau pia warusi na wachina watembelea gia hiyo hiyo ili kueneza propaganda zao
 
Tusipoteze wakati,

Ukiwaambiwa watu raisi anakutana na USA, watu watalalamila USA wanaleta ushoga, Ukiwaambia tumesaini mkataba na umoja wa Ulaya watasema masuala ya ushoga, ukiwaambia naenda USA watasema unaenda kwa mashoga.

Hali imekuwa mbaya kiasi watu hawapendi tushirikiane na west countries kwa kigezo cha mashoga licha ya kuwa kiukweli ili tutoboe kiuchumi kwa dunia hii hawa jamaa hawakwepekihata ufanye vipi lazima wahusike.

Issue ni kuwa je, USA wanaeneza ushoga ? Au ni sisi wenyewe tunavyolawiti watoto makanisani na misikitini na kisha kuchekeana bila kuchukulia hatua? Au tunavyolawitiana majumbani mwetu bila kuchukuliana hatua ?

Mtoto analawitiwa toka ana miaka 7 akiwa either kanisani, msikitini au hata majumbani mwetu na mashuleni, then mtoto huyu akifika miaka ,25 akawa kama afande wa zenji watu watasema ni West Countries.

Binafsi naona tunajitahidi tu kuhamisha lawama lakini issue ya ushoga ni sisi wenyewe kama jamii tunaizalisha na kuipalilia na kisha tunalaumu wengine pale inapotoa matunda yake, tujitahidi kufix issue ya malezi, tuwe wakali kwenye kesi za kulawitiwa haijalishi imetokea kanisani, msikitini au hata nyumbani.

Pia tuwafunde vijana wetu vyema katika familia badala ya kukaa na kumtafuta wa kumpa lawama daily
Mkuu hapa afrika mashariki tabia ya ushoga ilikuja ikitokea wapi???Maana miji ya pwani na visiwani tabia hii imeshamiri.
 
sehemu za pwani, uarabuni ndio sehemu zinaongoza watu kufanya ufirauni wanakuja kupiga kelele oh Marekani mashoga kumbe wao ndio mashoga
 
Upo sahihi, kwa mfano hii mibwabwa iliyoko mtaani imeletwa na watu wa magharibi? nauliza hii iliyopo mitaani magomeni, sinza kinondoni imeletwa na nani?

Hatuna sheria ya kuzibiti huu uchafu wenyewe hadi tuwalaumu watu wa magharibi? kama tunayo tunashindwa wapi?

Kama sheria ni butu kwa nini tusiinoe tena ili kuthibiti huu uchafu uliolaanika tangu enzi za Sodoma na Gomola? Wabunge wa CCM kweli mna nia ya kumaliza Ushoga? kama mna nia ya dhati sasa mnafeli wapi ? maana na nyie mmegeuka kuaza kulalamika kama sisi, hebu tupeni sheria kali afu sisi wananchi tushughulike na hii mibwabwa mitaani kwetu, maana sasa hivi ukilikamata huwezi kulishitaki labda utumie sheria na uzururaji, na hii midude imefundishwa sheria na ndiyo maana inakwambia sisi hatuachi hii kazi na wazazi wetu washatushindwa itakuwa wewe. Sasa hii si ni balaa ndugu zangu.


Mkuu enzi zile za siltan Seyid,wale mashoga wa zanzbar na mombasa na tanga na lamu na kilwa na bagamoyo waliletwa na nani?????????
 
Back
Top Bottom