GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Naanza sasa kupata Hisia kuwa huenda Taifa la Malawi lina Agenda Ovu na ya Siri na Tanzania na Watanzania.
Walianza na kutuletea Panya wao hawa wa sasa wenye Mkia mfupi, wanalia kama wanapiga Miluzi na ambao ukiwawekea Sumu hawafi hawaliwi na Paka na wala hawana Kasi ya Kukimbia kama ikitokea Ukawafurumusha.
Na taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa hawa Panya wa / kutoka nchini Malawi waliokuja Kutupwa nchini Tanzania ni wa KAZI MAALUM ambapo 1. Zinasema ni Panya Majasusi kwa Kuipeleleza Tanzania na 2. ni Panya wenye Sumu fulani au Virusi fulani ambavyo vina athari kubwa ya Afya za Watanzania na Ustawi wake
La HATARI lingine kuhusu hawa Wamalawi ( hasa Wanawake ) ambao wengi Wao wanatokea Mji wa Mzuzu ambao uko karibu na Tanzania ambapo ukiwa unafanya nao Ngono wala hawajihangaishi na hawana muda huo wa Kukuambia au hata tu Kukulazimisha utumie Kinga / Uvae Condom kwa ajili ya Kujilinda na Maambukizi HATARI ya VVU.
Walianza na kutuletea Panya wao hawa wa sasa wenye Mkia mfupi, wanalia kama wanapiga Miluzi na ambao ukiwawekea Sumu hawafi hawaliwi na Paka na wala hawana Kasi ya Kukimbia kama ikitokea Ukawafurumusha.
Na taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa hawa Panya wa / kutoka nchini Malawi waliokuja Kutupwa nchini Tanzania ni wa KAZI MAALUM ambapo 1. Zinasema ni Panya Majasusi kwa Kuipeleleza Tanzania na 2. ni Panya wenye Sumu fulani au Virusi fulani ambavyo vina athari kubwa ya Afya za Watanzania na Ustawi wake
La HATARI lingine kuhusu hawa Wamalawi ( hasa Wanawake ) ambao wengi Wao wanatokea Mji wa Mzuzu ambao uko karibu na Tanzania ambapo ukiwa unafanya nao Ngono wala hawajihangaishi na hawana muda huo wa Kukuambia au hata tu Kukulazimisha utumie Kinga / Uvae Condom kwa ajili ya Kujilinda na Maambukizi HATARI ya VVU.