Nani kawaleta Kawe hawa Panya wa maajabu na wa kimkakati wanaosemekana kutokea nchini Malawi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,725
109,157
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
 
Lakini Kawe kuna Wanyasa wengi sana, wanaishi na Watanzania wakiwafanyisha kazi kwa mshahara kiduchu achilia mbali hao wanaokuja kwa Posa Boy.

Tena hawana vibali na hawajui Kiswahili vizuri, eti na kambi ya jeshi ipo jirani hapo hapo na ina vikosi muhimu kadhaaa.

Mtajua wenyewe na nchi yenu ya laana.
 
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
🤣🤣🤣
 
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
Hawa panya wanategeka kwa sumu bila shida, haujawahi au haujui jinsi ya kutumia sumu unaanza kusema hawategeki kwa sumu! Changanya unga kidogo sana na sumu nyeusi ya chenga, onja kama imekolea kisha weka sehemu kavu na yasiwepo maji yoyote karibu.
 
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
Aliyewaleta ni chakubanga Humphrey polepole alivyokuwa balozi Malawi.
 
GENTAMYCINE

Wakati mwingine kuna makosa yanafanyika ya ki ecolojia nitatoa mfano

1. Kunguru wa Mafia waliletwa dar ajili ya kazi ya scavenging yaani kupunguza matakataka matokeo yake walivyo wakorofi wakawa wanawaangamiza wale kunguru wenye kizibao cheupe(white crested crow) zaid ya yote wakawa kero mno wanakula vifaranga yaani hawaogopi anashuka anakamata kifaranga ukiwepo.Ikafika mahali ikawekwa kampeni miaka 30 iliyopita mtu akipeleka yai lake anapewa shillingi 50 sijui iliishia wapi.

2. Samaki aina ya Sangara waliletwa Mwanza ajili ya kuangamiza magugu maji matokeo yake wakawa wanakuwa wakubwa mno wanakula samaki wengine.Wataalamu walivyo shtukia hili wakafungua viwanda vya minofu ya samaki sijui walifanikiwa vipi hadi sasa.

TOO MUCH OF ANYTHING IS MONOTONOUS
 
1. Wana mikia mifupi

2. Wana mlio kama wa Mluzi

3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu

4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe

5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata

6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi

7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa

Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.

Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
Kwa kuongezea tu hawa panya wanaogopwa mpaka na nyoka. Lengo kubwa la hawa panya ni kuwateketeza wale panya wa kawaida
 
Back
Top Bottom