GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,725
- 109,157
1. Wana mikia mifupi
2. Wana mlio kama wa Mluzi
3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu
4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe
5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata
6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi
7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa
Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.
Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.
2. Wana mlio kama wa Mluzi
3. Wamewala Panya wote wa Kitanzania wenye mikia mirefu
4. Hawategeki kwa Sumu yoyote na hata Ukiwakimbiza hawakuogopi na wanaondoka kwa mwendo wa taratibu huku wakiwa hata hawana wasiwasi nawe
5. Paka wala hawaangaiki kuwakamata
6. Lishe yao wanaipata katika Matakataka na hasa Mashimo ya Nnya / Kinyesi
7. Mavi yao ni kama Utumbo wa Kuku, Meusi, Mafupi na yananuka balaa
Wapo sana Kawe na sina uhakika kama na Kwingineko pia wako na kuna taarifa zisizo rasmi na bado GENTAMYCINE nakataa kuziamini kuwa Panya hawa wameletwa na Wamalawi wanaokuja Kusali kwa Mwamposa na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa hawa Panya ni wa Kijasusi / Kinjagu kutoka nchini Malawi na kwamba wapo nchini Kimkakati zaidi.
Nivumilieni kidogo niwavizie wakitaka Kunya ( Kuukweka ) muda si mrefu nitawapiga Picha muwaone.