KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,999
Kutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.elimu hii ndio mim naitaka.mkuu em nijulishe ni benk gan hio kutuma wanakata. hivyo.mana mabenk meng wameficha kweli makato yao.yan unakua una guess tu sijui hapa wanakata kias gan kutoa,kuweka,kuhamisha.
ushauri.watuwekee viwango vyao vyote makato,kuweka kutoa.sio kuyatafutaaa weee kwa toch yawe hadharan tu kwenye user interface rahisi tu like ukifika Atm unakuta kabisa wamebandika unajua unajihukum vip
Sent using Jamii Forums mobile app