cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
Kijana sio lazima sisi tufanye kama wanavyofanya....uchumi wa Afrika mashariki umesimama kwe mitandao ya simu..na ndo dunia inapohamia...refer to QR code payment,google money what's app money ipay...mabank mengi yapo rigid na mabadiliko na ndo tatizo linaanzia hapoKiongozi, weka Time, kwa ulimwengu wa sasa kuna ATMs ambazo unaweza kutoa fedha, pia hata kwenye simu kuna wakati unaweza kusimama tu kusubria muamala urudishe meseji ya kuthibitisha
Convinience ni ipi ambayo haipo kwenye huduma za kibenk