1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Hilo ndio jibu chiefuepuka msongamano, kama shida yako inaweza kutatulika kwa ATM unaimalizia hapo, kama inataka kwenda kwa teller utaenda kumuona teller
Watu wanatumia simu kuokoa mda.
Tunapoelekea teller watapoteza ajira
Kama ilivo batan kwa simu
Watu wanapangusa tu
Technology